Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
<br />Basi ntamwomba uporoto anipe lift kwenye kale kamkweche chake..
<br />
sahivi ana hammer utaweka kishoka. Lol
<br />Basi ntamwomba uporoto anipe lift kwenye kale kamkweche chake..
Hahaha... Ndo mana nilikumisi...amejiunga na freemasons au? Manake from mkweche to hammer kirahisi rahisi hivi daaah!..ukimwona mwambie namtafuta for GOOD!<br /><br />
<br /><br />
sahivi ana hammer utaweka kishoka. Lol
<br />Hahaha... Ndo mana nilikumisi...amejiunga na freemasons au? Manake from mkweche to hammer kirahisi rahisi hivi daaah!..ukimwona mwambie namtafuta for GOOD!
Hahaha!... Heri yenu mwacheua yuro!...hiyo bahati nasibu ilichezwa mpwapwa only au??..<br /><br />
<br /><br />
uporoto wangu ameshinda bahati nasibu. Sahivi tunakula kuku kwa mrija, tunacheua yuro tu.
<br />Hahaha!... Heri yenu mwacheua yuro!...hiyo bahati nasibu ilichezwa mpwapwa only au??..
Hahaha! Kloro hajaacha tabia ya kudhulumu watu eh?.. Mi alinambia eti ameteuliwa na rais kusimamia kile kikosi cha uokoaji from South Africa...khaaa kumbe katimuliwa jf kwa kumtapeli uporoto hela za bahat nasibu?...<br /><br />
<br /><br />
bahati nasibu ya kimataifa. Halafu unajua kloro katuzulumu yuro zetu imebidi tumtimue jf.
Tumepotezana kama mwaka na nusu hv, kwani vp ndugu?sweetlady na husninyo hamjaonana kwa muda gani?
<br />Hahaha! Kloro hajaacha tabia ya kudhulumu watu eh?.. Mi alinambia eti ameteuliwa na rais kusimamia kile kikosi cha uokoaji from South Africa...khaaa kumbe katimuliwa jf kwa kumtapeli uporoto hela za bahat nasibu?...
<br />sweetlady na husninyo hamjaonana kwa muda gani?
Hahaha!... Mbavu zangu jamani!... Hajui dawa ya deni ni kulipa?..<br /><br />
<br /><br />
sahv anatengeneza id nyingine. Ukimuona member anaitwa panadol ujue ndio klorokwin.
<br />. Hajui dawa ya deni ni kulipa?..
Ukishindwa kumfikia, mpe the finest atamfikishia...wapo jirani, afu wote wanauza juice ya SAYONA..vibanda vyao vinatizamana.<br /><br />
<br /><br />
ngoja niprint hii post yako nikamwoneshe.
<br />Ukishindwa kumfikia, mpe the finest atamfikishia...wapo jirani, afu wote wanauza juice ya SAYONA..vibanda vyao vinatizamana.
hahaha... Uporoto yeye bado anauza maji ya pakti...<br /><br />
<br /><br />
hehehe! Ila the finest ameimprove anauza azam cola