- Thread starter
- #21
Karibu sana MzeeWashamba karibu Azam Cola!
Habari waungwana...
MzeeWaShamba hapa, mgeni wenu humu jamvini...
WanaJF naomba mnipokee...
Ahahahaah!! Mzigo umeibiwa mzeewashamba inabidi umletee chatu dume mzigo mwingine...Mkuu uko tofauti na jina lako, nilifkiri Katavi kaniuza nimezwe na Chatu duuh kumbe ni tofauti kabisa!!!
Azam cola?Togwa hapa mjini hazipatikani??
Vp Katavi, amekupatia mzigo wako??mcheck aisee nimemuachia kama gunia 3 iv za mpunga na 1 bunch of banana!!
thanks mkuu for welcoming a country man!!i&i man
Ha!hahah! kesi hiyo KataviAhahahaah!! Mzigo umeibiwa mzeewashamba inabidi umletee chatu dume mzigo mwingine...
Karibu sana MzeeWashamba karibu Azam Cola!
Karibu sana MzeeWashamba karibu Azam Cola!
Wewe inakufaa konyagi, nikuletee??mzee wa shamba akidengua tu nipe mimi.
Wewe inakufaa konyagi, nikuletee??
hahahaha! Andaa na tolori la kunibebea.