nyandaojiloleli
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 205
- 18
umejitahidi
kukomesha watu kama hawa, kwa nn usimripoti polisi, hoping watamshughulikia au watamtoa upepo- vyote ni adhabu tosha !!
....Interesting katumia jina la Mboma, kumbuka huyu m-meremeta ana miradi ya machimbo... mmmmhh !! Hapa kuna pazuri pa kuanzia...
kukomesha watu kama hawa, kwa nn usimripoti polisi, hoping watamshughulikia au watamtoa upepo- vyote ni adhabu tosha !!
....Interesting katumia jina la Mboma, kumbuka huyu m-meremeta ana miradi ya machimbo... mmmmhh !! Hapa kuna pazuri pa kuanzia...
Shida yako ndogo inaweza kukuzalia kiama. tuwe makini sana. Ila ukiwa makini hata anavyoongea tu unaweza mkamata.
ungetoa na namba zao za simu kabisa ili watu wengine wkipigiwa simu wajue kuwa huyo anayepiga ni tapeli
Aagh hiyo ni ngumu,kwa mfano huyu mshkaji akijifanya kama kiswahili hajakizoea vizuri ingwa anaongea na anachanganya na kidhungu!!!
Wazo zuri madame....namba yenyewe ni ya voda..hii hapa 0752410715.