Nimevunjika Moyo

Usijali hayo ndo mapenzi,lazima kukubali matokeo,kuacha na kuachika ni njia ya kufungua ukurasa mwingine mpya ambao sometimes unakupeleka kusahau yote yaliyotokea na kufurahia maisha zaidi ya mwanzo.Hisia za mapenzi zinaundwa jinsi unavyounda hisia ndo zitakavyokugharimu,na hisia pia unaweza ukaunda kwa mwingine na kumsahau uliyekuwa naye.
Anapokuacha ndo amekuruhusu uweze kujua ulimwengu mwingine wenye mapenzi matamu,Cha msingi kama we ndo unamakosa jirekebishe na upate funzo.
Enjoy ur day.....usiwaze sana
 
nimeamua tu kupost mnipe maneno ya faraja nimevunjika moyo tena na tena,
hivi ,nianzie wapi na niishie wapi?Niliyedhani twaweza pendana milele na milele kanitamkia wazi haoni connection between us, hivi kwa nini mapenzi hayako fair?
Nawakilisha mnipe moyo ndugu yenu ......... ahsanteni


kuambiwa hakuna connection mbona dogo ndugu yangu kuliko yule anayekuambia mna connetion ila siku hizi hakufeel kabisa, hata kupiga simu anasema hawezi.

Tujifunze kukubali na kuipokea hali halisi. Maisha lazima yaende.
 
pole sana mpendwa, usiumie sana, nipm pamoja na picha yako full, we will find some missing connection, tutamuonesha kuwa "jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pepembeni" do it ASAP, POLE SANA
 
Dinnah,

Pole sana!! Shukuru kwamba hamkwenda hatua ya mbali zaidi, shukuru mungu!

Did not you read the siigns on the wall?

mara nyingi sio abrupt!
 
Pole sana Dinnah ndio ukubwa huo.

mshukuru Mungu kwa yeye kuwa na uthubutu wa kukuambia. kubali ukweli na songa mbele yupo atakaekupenda kwa dhati.
 
Inaonekana wewe ni wale mademu wapiga mizinga sana,kaona sio type yake na may be hata mkikaa story zako ni udaku udaku umbea umbea na magazeti unayopenda kusoma ni ya udaku pia hata redio unayosikiliza ni clouds kipindi leo tena segment ni ile CHACHANDU na hii inaonekana dhahiri badala ya kwenda madhabahuni kusali kumuomba Mungu wako akuondolee pepo la ujinga na kutotumia akili wewe unakuja kutafuta kuonewa huruma kwa watu usiowaona wala kuwajua jf
Sasa huo ni ushauri au ni kuzidi kumvunja moyo?????????? Tuliza akili yako Dinar, mambo kama hayo lazima uyapitie maishani ndio kukua ati!!!!!!!!!! Muombe Mungu, mpe moyo wako atashughulikia swala lako fasta,bora tuu umuamini kuwa atafanya!!!!!!!!!Ubarikiwe!!!!!!!!
 
Pole sana mpendwa usijali hayo ni mapito tu isitoshe mungu analo kusudi lake endelea kumwomba mungu naye atakuongoze mshukuru mungu kwa hilo wala usijali pole sana
 
Inaonekana wewe ni wale mademu wapiga mizinga sana,kaona sio type yake na may be hata mkikaa story zako ni udaku udaku umbea umbea na magazeti unayopenda kusoma ni ya udaku pia hata redio unayosikiliza ni clouds kipindi leo tena segment ni ile CHACHANDU na hii inaonekana dhahiri badala ya kwenda madhabahuni kusali kumuomba Mungu wako akuondolee pepo la ujinga na kutotumia akili wewe unakuja kutafuta kuonewa huruma kwa watu usiowaona wala kuwajua jf
Mkuu kulikoni tena? yamekuwa hayo? usiombee yakukute tafadhali.
 
Back
Top Bottom