wilbald
JF-Expert Member
- Dec 17, 2007
- 1,804
- 1,374
Nafikiri umesoma vibaya embu soma upya ili uchangie unazidi kunitia majonzi
kwani siunaweza kurudia kuvitaja vigezo vyenyewe ili kama kuna ulichosahau ukiongeze hapo?
Nafikiri umesoma vibaya embu soma upya ili uchangie unazidi kunitia majonzi
Sengerema mkuu karibu
nimeamua tu kupost mnipe maneno ya faraja nimevunjika moyo tena na tena,
hivi ,nianzie wapi na niishie wapi?Niliyedhani twaweza pendana milele na milele kanitamkia wazi haoni connection between us, hivi kwa nini mapenzi hayako fair?
Nawakilisha mnipe moyo ndugu yenu ......... ahsanteni
Hujanijibu swali langu dinnah.Namshukuru sana Mungu, MwanajamiiOne ila tu sie kama binadamu tunajkuta tunasikitika ila ukikaa mwenyewe ukatafakari unajipa majibu mwenyewe
Ovyoo si kila mtu anachangia atakavyo :biggrin1::biggrin1::biggrin1:
s'rema iz 2 big, ibisabagen,mishen,center town,migomban,boman or where.?
Kumbe ndo maana unajidai kumtetea?
una taka uchakachue pia?
duh,watu kwa ku-take advantage hamjambo,basi unajidai una hurumaaaaaaaa
Sasa huo ni ushauri au ni kuzidi kumvunja moyo?????????? Tuliza akili yako Dinar, mambo kama hayo lazima uyapitie maishani ndio kukua ati!!!!!!!!!! Muombe Mungu, mpe moyo wako atashughulikia swala lako fasta,bora tuu umuamini kuwa atafanya!!!!!!!!!Ubarikiwe!!!!!!!!Inaonekana wewe ni wale mademu wapiga mizinga sana,kaona sio type yake na may be hata mkikaa story zako ni udaku udaku umbea umbea na magazeti unayopenda kusoma ni ya udaku pia hata redio unayosikiliza ni clouds kipindi leo tena segment ni ile CHACHANDU na hii inaonekana dhahiri badala ya kwenda madhabahuni kusali kumuomba Mungu wako akuondolee pepo la ujinga na kutotumia akili wewe unakuja kutafuta kuonewa huruma kwa watu usiowaona wala kuwajua jf
Mkuu kulikoni tena? yamekuwa hayo? usiombee yakukute tafadhali.Inaonekana wewe ni wale mademu wapiga mizinga sana,kaona sio type yake na may be hata mkikaa story zako ni udaku udaku umbea umbea na magazeti unayopenda kusoma ni ya udaku pia hata redio unayosikiliza ni clouds kipindi leo tena segment ni ile CHACHANDU na hii inaonekana dhahiri badala ya kwenda madhabahuni kusali kumuomba Mungu wako akuondolee pepo la ujinga na kutotumia akili wewe unakuja kutafuta kuonewa huruma kwa watu usiowaona wala kuwajua jf