Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Ni miaka minne (4) sasa tangu nimefahamiana na mkaka mmoja. Tulifahamiana wakati ninasoma course flani "c mnajua tena mambo ya kujiendeleza ukubwani" yeye alikuwa mwalimu wangu na ananizidi miaka minne (4). Wakati nasoma sikuwa na feelingsd naye kabisa cos nilumuheshimu kama mwalimu wangu pia nahisi na yeye alikuwa vivyo hivo. Basi sasa baada ya mimi kumaliza hiyo course nilihamia mkoani yeye akabaki Bongo hapo ndipo tulianza mawasiliano kwa muda mrefu na pia tukaanza kuoneshana feelings baina yetu ingawa yeye hakuwa wazi sana. Nilijikuwa nazidiwa ikabidi nimueleze juu ya hisia zangu ila kwa kweli alisita sana na kuwa na wasiwasi "oh yan mimi masikini sina kitu, nitapendwaje ma mtoto mrembo kama wewe" na vitu kama hivo yan hakuwa na uhakika kama ninampenda kiasi hiko.
Kiukwei mimi ninampenda saaaaaaaaana toka moyoni natamani hata angenitamkia kuwa njoo hata sasa hivi tulisukume gurudumu la maisha nisingesita cos ni mtulivu, mpole asiye na makuu. Nimekuwa nikipigia mara kwa mara kuliko yye anavonipigia, ninamtext sms nzrui za kimapenzi ila yeye anakuwa mzito sana. Hata zawadi nimekuwa nikimtumia wakati mwingine lakini yeye hola. hata vocha jamani. Ila kuoana kwetu ni mara moja au mbili kwa mwaka.
NOTE: Cjaahi kukutana naye kimapenzi. Sasas nimechoka cos naona naumiza roho yangu bure, nimeamua kuacha kuwasiliana naye mara kwa mara. Sasa hivi nina kama cku 5 cjawasiliana naye na yeye pia kakaa kimya.. Nimeamua uamuzi huo lakini naona nauma pia. Je wanajamvi niendelee kumsumbua, ama nitumie njia gani. Plz........ :shock:
Kiukwei mimi ninampenda saaaaaaaaana toka moyoni natamani hata angenitamkia kuwa njoo hata sasa hivi tulisukume gurudumu la maisha nisingesita cos ni mtulivu, mpole asiye na makuu. Nimekuwa nikipigia mara kwa mara kuliko yye anavonipigia, ninamtext sms nzrui za kimapenzi ila yeye anakuwa mzito sana. Hata zawadi nimekuwa nikimtumia wakati mwingine lakini yeye hola. hata vocha jamani. Ila kuoana kwetu ni mara moja au mbili kwa mwaka.
NOTE: Cjaahi kukutana naye kimapenzi. Sasas nimechoka cos naona naumiza roho yangu bure, nimeamua kuacha kuwasiliana naye mara kwa mara. Sasa hivi nina kama cku 5 cjawasiliana naye na yeye pia kakaa kimya.. Nimeamua uamuzi huo lakini naona nauma pia. Je wanajamvi niendelee kumsumbua, ama nitumie njia gani. Plz........ :shock: