Kwa kuwa ulikuwa unapima na kucheza nao mchezo usijilaumu. kumbuka wanawake wana roho nyepesi sana kulinganisha na wanaume.
Mwanamke ni wa kwanza kabisa kuuona ufalme wa mungu, lakini pia mwanamke ni wa kwanza kabisa kutumbukia jehanamu.
Ukiacha suala la kufanya nao ngono, kwa suala la kuoa mshirikishe Mungu atakusaidia, maana maandiko matakatifu yanatuambia kuwa Mke Mwema hutoka kwa Mungu.
pole kwa masahibu.
acha kaziWakuu mimi ni kijana mvulana miaka 30.Nimewai kuwa na wapenzi lakini wawili tu ndo wamenifanya nisifikilie kupenda.
Mpenzi wangu wa kwanza kabisa na ndo mara yangu ya kwanza kujiingiza kwenye mapenzi niwakati nimemaliza A level.Baada ya kumaliza nikakutana na msichana ambaye naye alikuwa ameitimu A level.Huyu msichana ni mwenyeji wa kijiji jirani na kwetu.
Basi tukajenga mausihano ya mapenzi hadi tukaenda kupima basi mapenzi yakwawa kweli hadi home kwetu na kwao wakajua.
Ikafika muda wa kwenda Chuo mimi nikaenda Ud yeye akaenda vodafasta Butimba.Mawasiliano yakawepo mazuri tu mpaka boom tukawa tuna share.Akamaliza na kupangiwa wilaya jirani Karagwe basi kwakuwa mimi niliamini na kupenda sana nikawa natuma pesa kusudi hasiishi kwa taabu saana.Mwaka wa kwanza hatukuwa na field ila wa pili tukaenda na mimi nikaenda mkaoni Kagera-BK.Siku moja niko home nikampigia simu akasema hataki usumbufu ...mh nikasema poa.Kesho yake nikapiga akasema niongee na mtu mwingine dah ni sauti ya jamaa nikesema poa na hapo ni usiku basi nikajua sina changu tena.
Mawasiliano yake na mimi yakafa nanikajurishwa kwamba tayari ana mimba mpaka na mimi nikashudia lol karibu nizimie ndugu zangu.
Basi nikarudi chuo na kumaliza bila kuwa na mausiano ya kimapenzi na msichana.Nikapata kazi serikalini takribani mwaka mmoja na mwezi saba.Yaani hizo siku zote niko alone.Mwezi wa saba wakaja wanafunzi kutoka Udom field kazini kwetu,nikavutiwa na msichana mmoja mpaka tukakubaliana tukapima na mambo yalikuwa poa,basi nikapajua kwao naye akawajua wazazi wangu.Kazini ikatokea tena rafiki yangu naye akawa kumbe anamtamani.Huyu dada akaniambia na mimi nikamwambia kwanini usimwambie ukweli,mpaka jamaa akawa anamwambia kuwa aende kwake amutembelee basi dada huyu akawa ananiambia hawezi kwenda.
Ikafika siku yake kurudi chuo akaanza kuniambia kuwa yawezekana ana mimba nikesema poa sasa tufanyeje,?Yeye akawa anasema tuitoe nikamwambia tusifanye hivyo.Akaenda chuo,yule jamaa akaja kwangu kuniambia kuwa na yeye amepata chuo Udom anaenda kujiendeleza,basi kwenye stori akanidokeza kuwa vipi shemeji nikasema poa.
Tukapiga story kama kawaida,mara akaiona picha ya huyo mdada,dah jamaa akaruka juu na kushika kichwa,nikashangaa nakumuuliza kwani vipi?Akasema wanawake watatuua basi nikajiuliza kulikoni?Jamaa akasema mbona ameisha kuja ata kwangu huyu mara kibao heh basi tukapiga story kama kawaida.
Baadae nikampigia simu huyu dada nikamuuliza uliwai kwenda kwa huyu jamaa akakana kata kata,basi nikamwambia mbona kasema hua unaenda basi ndo akakubali nakuomba msamaha nikamwambia poa lakini siyo vizuri.Basi akasema alidhani ningechukia kama angeniambia.
Baada ya siku kama kumi akanitumia sms kuwa ana mimba tena then anataka kuwa lonely nikamwambia kwa nini ujanitaarifu akasema siningesema hiyo mimba siyo yangu niya rafiki yangu na tayari ametoa.
Mpaka leo ata simu amebadirisha hapatikani ila kaacha nguo zake kwangu sasa ninataka kuzipereka kwao.JE MIMI NINAMAKOSA AU MKOSI GUNDU?Nifanye nini kuweza kuendelea na huyu dada coz nilimpenda sana.USHAURI NDUGU ZANGU.
Wakuu mimi ni kijana mvulana miaka 30.Nimewai kuwa na wapenzi lakini wawili tu ndo wamenifanya nisifikilie kupenda.
Mpenzi wangu wa kwanza kabisa na ndo mara yangu ya kwanza kujiingiza kwenye mapenzi niwakati nimemaliza A level.Baada ya kumaliza nikakutana na msichana ambaye naye alikuwa ameitimu A level.Huyu msichana ni mwenyeji wa kijiji jirani na kwetu.
Basi tukajenga mausihano ya mapenzi hadi tukaenda kupima basi mapenzi yakwawa kweli hadi home kwetu na kwao wakajua.
Ikafika muda wa kwenda Chuo mimi nikaenda Ud yeye akaenda vodafasta Butimba.Mawasiliano yakawepo mazuri tu mpaka boom tukawa tuna share.Akamaliza na kupangiwa wilaya jirani Karagwe basi kwakuwa mimi niliamini na kupenda sana nikawa natuma pesa kusudi hasiishi kwa taabu saana.Mwaka wa kwanza hatukuwa na field ila wa pili tukaenda na mimi nikaenda mkaoni Kagera-BK.Siku moja niko home nikampigia simu akasema hataki usumbufu ...mh nikasema poa.Kesho yake nikapiga akasema niongee na mtu mwingine dah ni sauti ya jamaa nikesema poa na hapo ni usiku basi nikajua sina changu tena.
Mawasiliano yake na mimi yakafa nanikajurishwa kwamba tayari ana mimba mpaka na mimi nikashudia lol karibu nizimie ndugu zangu.
Basi nikarudi chuo na kumaliza bila kuwa na mausiano ya kimapenzi na msichana.Nikapata kazi serikalini takribani mwaka mmoja na mwezi saba.Yaani hizo siku zote niko alone.Mwezi wa saba wakaja wanafunzi kutoka Udom field kazini kwetu,nikavutiwa na msichana mmoja mpaka tukakubaliana tukapima na mambo yalikuwa poa,basi nikapajua kwao naye akawajua wazazi wangu.Kazini ikatokea tena rafiki yangu naye akawa kumbe anamtamani.Huyu dada akaniambia na mimi nikamwambia kwanini usimwambie ukweli,mpaka jamaa akawa anamwambia kuwa aende kwake amutembelee basi dada huyu akawa ananiambia hawezi kwenda.
Ikafika siku yake kurudi chuo akaanza kuniambia kuwa yawezekana ana mimba nikesema poa sasa tufanyeje,?Yeye akawa anasema tuitoe nikamwambia tusifanye hivyo.Akaenda chuo,yule jamaa akaja kwangu kuniambia kuwa na yeye amepata chuo Udom anaenda kujiendeleza,basi kwenye stori akanidokeza kuwa vipi shemeji nikasema poa.
Tukapiga story kama kawaida,mara akaiona picha ya huyo mdada,dah jamaa akaruka juu na kushika kichwa,nikashangaa nakumuuliza kwani vipi?Akasema wanawake watatuua basi nikajiuliza kulikoni?Jamaa akasema mbona ameisha kuja ata kwangu huyu mara kibao heh basi tukapiga story kama kawaida.
Baadae nikampigia simu huyu dada nikamuuliza uliwai kwenda kwa huyu jamaa akakana kata kata,basi nikamwambia mbona kasema hua unaenda basi ndo akakubali nakuomba msamaha nikamwambia poa lakini siyo vizuri.Basi akasema alidhani ningechukia kama angeniambia.
Baada ya siku kama kumi akanitumia sms kuwa ana mimba tena then anataka kuwa lonely nikamwambia kwa nini ujanitaarifu akasema siningesema hiyo mimba siyo yangu niya rafiki yangu na tayari ametoa.
Mpaka leo ata simu amebadirisha hapatikani ila kaacha nguo zake kwangu sasa ninataka kuzipereka kwao.JE MIMI NINAMAKOSA AU MKOSI GUNDU?Nifanye nini kuweza kuendelea na huyu dada coz nilimpenda sana.USHAURI NDUGU ZANGU.