Nimeumizwa sana sitamani kupenda

usifanye haraka kuwatambulisha kwenu.utatambulisha wangapi?.usijali ipo siku utapenda na utapendwa,zingatia masomo yako.hayo mambo yapo kila siku.
 
Kwa kuwa ulikuwa unapima na kucheza nao mchezo usijilaumu. kumbuka wanawake wana roho nyepesi sana kulinganisha na wanaume.
Mwanamke ni wa kwanza kabisa kuuona ufalme wa mungu, lakini pia mwanamke ni wa kwanza kabisa kutumbukia jehanamu.

Ukiacha suala la kufanya nao ngono, kwa suala la kuoa mshirikishe Mungu atakusaidia, maana maandiko matakatifu yanatuambia kuwa Mke Mwema hutoka kwa Mungu.

pole kwa masahibu.

kupima kutakutumbukiza shimon, coz unauza mech na dem anauza kwa masela matokeo utayapata! Usipime tena na dem unles unafunga ndoa. ili usimwan utumie condom
 
Hizo nguo za huyo dada choma moto haina haja ya kurudisha kwao, kwanza si muaminifu ingawa ndo tayari ushafall in love kwake. Haina haja ya kuendelea nae sababu ya kutokuwa muaminifu. Fanya kazi kwa bidii, ukifika muda muafaka Mungu atakupa mkeo ambaye mtakuwa mnaendana kitabia na vitu vingine, haina haja ya kulazimisha mapenzi kwa mtu asiyekupenda. Wala hauna gundu lolote, wa kwako yupo ila bado hajatokea.
 
piga moyo konde na ucwe na papara now jali mambo yakp kwanza mademu ckuhiz c wakufikiria sana cz wanaweza kukupa stress ,jali michongo yako kwanza.mademu wa chuo cyo hata mm ilishawa kunitokea bt cz nilikuwa full ma experience ckuhangaika nao cz kinatoka ki2 kinaingia ki2 huo ndyo mpango mzma full maujanja fanja.dnt luv b4 u like
 
Wakuu mimi ni kijana mvulana miaka 30.Nimewai kuwa na wapenzi lakini wawili tu ndo wamenifanya nisifikilie kupenda.
Mpenzi wangu wa kwanza kabisa na ndo mara yangu ya kwanza kujiingiza kwenye mapenzi niwakati nimemaliza A level.Baada ya kumaliza nikakutana na msichana ambaye naye alikuwa ameitimu A level.Huyu msichana ni mwenyeji wa kijiji jirani na kwetu.
Basi tukajenga mausihano ya mapenzi hadi tukaenda kupima basi mapenzi yakwawa kweli hadi home kwetu na kwao wakajua.
Ikafika muda wa kwenda Chuo mimi nikaenda Ud yeye akaenda vodafasta Butimba.Mawasiliano yakawepo mazuri tu mpaka boom tukawa tuna share.Akamaliza na kupangiwa wilaya jirani Karagwe basi kwakuwa mimi niliamini na kupenda sana nikawa natuma pesa kusudi hasiishi kwa taabu saana.Mwaka wa kwanza hatukuwa na field ila wa pili tukaenda na mimi nikaenda mkaoni Kagera-BK.Siku moja niko home nikampigia simu akasema hataki usumbufu ...mh nikasema poa.Kesho yake nikapiga akasema niongee na mtu mwingine dah ni sauti ya jamaa nikesema poa na hapo ni usiku basi nikajua sina changu tena.
Mawasiliano yake na mimi yakafa nanikajurishwa kwamba tayari ana mimba mpaka na mimi nikashudia lol karibu nizimie ndugu zangu.
Basi nikarudi chuo na kumaliza bila kuwa na mausiano ya kimapenzi na msichana.Nikapata kazi serikalini takribani mwaka mmoja na mwezi saba.Yaani hizo siku zote niko alone.Mwezi wa saba wakaja wanafunzi kutoka Udom field kazini kwetu,nikavutiwa na msichana mmoja mpaka tukakubaliana tukapima na mambo yalikuwa poa,basi nikapajua kwao naye akawajua wazazi wangu.Kazini ikatokea tena rafiki yangu naye akawa kumbe anamtamani.Huyu dada akaniambia na mimi nikamwambia kwanini usimwambie ukweli,mpaka jamaa akawa anamwambia kuwa aende kwake amutembelee basi dada huyu akawa ananiambia hawezi kwenda.
Ikafika siku yake kurudi chuo akaanza kuniambia kuwa yawezekana ana mimba nikesema poa sasa tufanyeje,?Yeye akawa anasema tuitoe nikamwambia tusifanye hivyo.Akaenda chuo,yule jamaa akaja kwangu kuniambia kuwa na yeye amepata chuo Udom anaenda kujiendeleza,basi kwenye stori akanidokeza kuwa vipi shemeji nikasema poa.
Tukapiga story kama kawaida,mara akaiona picha ya huyo mdada,dah jamaa akaruka juu na kushika kichwa,nikashangaa nakumuuliza kwani vipi?Akasema wanawake watatuua basi nikajiuliza kulikoni?Jamaa akasema mbona ameisha kuja ata kwangu huyu mara kibao heh basi tukapiga story kama kawaida.
Baadae nikampigia simu huyu dada nikamuuliza uliwai kwenda kwa huyu jamaa akakana kata kata,basi nikamwambia mbona kasema hua unaenda basi ndo akakubali nakuomba msamaha nikamwambia poa lakini siyo vizuri.Basi akasema alidhani ningechukia kama angeniambia.
Baada ya siku kama kumi akanitumia sms kuwa ana mimba tena then anataka kuwa lonely nikamwambia kwa nini ujanitaarifu akasema siningesema hiyo mimba siyo yangu niya rafiki yangu na tayari ametoa.
Mpaka leo ata simu amebadirisha hapatikani ila kaacha nguo zake kwangu sasa ninataka kuzipereka kwao.JE MIMI NINAMAKOSA AU MKOSI GUNDU?Nifanye nini kuweza kuendelea na huyu dada coz nilimpenda sana.USHAURI NDUGU ZANGU.
acha kazi
 
You are so naive... nadhani ushauri wa kucheza mechi za ugenini kwa wingi unakufaa, angalau utapata uzoefu juu ya hawa viumbe!
 
Pole kaka, warrrra huna gundu warrrra nini.... ila uchaguzi wako tu, pia na wewe unavowachukulia wachumba zako, sio ukimpata tu unamwonyesha uko weak sana kwake na mpaka kumpeleka kwenu mapema hivo, jiangalie tu mwenyewe na jinsi unavowa treat hao wanawake wako maybe utagundua unakosea wapi
 
Pole kama ila mademu wa siku hizi hawajatulia hususani watoto wa vyuo ndio vicheche kabisa! Nilikuwa na kidemu kimoja cha chuo pale Ustawi wa Jamíi mwisho wa siku nikaja kushtukia anatembea pia na Mjomba wangu! Nakushauri piga sana chandimu/mpra wa mchangani then ukiwa fresh ndio uende next level
 
Achana na hawa mabinti wa vyuo! ni very rare case kumpata aliyetulia wengi wako kutafuta pesa zaidi na si kuishi na mtu kwa kumpenda. Tulia, angalia mtu unayeweza mwenye mawazo ya kiutu uzima pengine naye keshapitia some stages kama zako au yule ambaye yuko tayari kuanza kuishi kwenye ndoa.

Mabinti wa vyuo tena vyuo vikuu hawa ni pasua kichwa, na distant love nayo ni pasua kichwa!
 
Achana nae huyo na hizo nguo zake zitie moto. Pia zingatia mambo mengine yatakayokujenga kimaendeleo achana na mambo ya mapenzi kama wewe sio mzoefu!
 
Wakuu mimi ni kijana mvulana miaka 30.Nimewai kuwa na wapenzi lakini wawili tu ndo wamenifanya nisifikilie kupenda.
Mpenzi wangu wa kwanza kabisa na ndo mara yangu ya kwanza kujiingiza kwenye mapenzi niwakati nimemaliza A level.Baada ya kumaliza nikakutana na msichana ambaye naye alikuwa ameitimu A level.Huyu msichana ni mwenyeji wa kijiji jirani na kwetu.
Basi tukajenga mausihano ya mapenzi hadi tukaenda kupima basi mapenzi yakwawa kweli hadi home kwetu na kwao wakajua.
Ikafika muda wa kwenda Chuo mimi nikaenda Ud yeye akaenda vodafasta Butimba.Mawasiliano yakawepo mazuri tu mpaka boom tukawa tuna share.Akamaliza na kupangiwa wilaya jirani Karagwe basi kwakuwa mimi niliamini na kupenda sana nikawa natuma pesa kusudi hasiishi kwa taabu saana.Mwaka wa kwanza hatukuwa na field ila wa pili tukaenda na mimi nikaenda mkaoni Kagera-BK.Siku moja niko home nikampigia simu akasema hataki usumbufu ...mh nikasema poa.Kesho yake nikapiga akasema niongee na mtu mwingine dah ni sauti ya jamaa nikesema poa na hapo ni usiku basi nikajua sina changu tena.
Mawasiliano yake na mimi yakafa nanikajurishwa kwamba tayari ana mimba mpaka na mimi nikashudia lol karibu nizimie ndugu zangu.
Basi nikarudi chuo na kumaliza bila kuwa na mausiano ya kimapenzi na msichana.Nikapata kazi serikalini takribani mwaka mmoja na mwezi saba.Yaani hizo siku zote niko alone.Mwezi wa saba wakaja wanafunzi kutoka Udom field kazini kwetu,nikavutiwa na msichana mmoja mpaka tukakubaliana tukapima na mambo yalikuwa poa,basi nikapajua kwao naye akawajua wazazi wangu.Kazini ikatokea tena rafiki yangu naye akawa kumbe anamtamani.Huyu dada akaniambia na mimi nikamwambia kwanini usimwambie ukweli,mpaka jamaa akawa anamwambia kuwa aende kwake amutembelee basi dada huyu akawa ananiambia hawezi kwenda.
Ikafika siku yake kurudi chuo akaanza kuniambia kuwa yawezekana ana mimba nikesema poa sasa tufanyeje,?Yeye akawa anasema tuitoe nikamwambia tusifanye hivyo.Akaenda chuo,yule jamaa akaja kwangu kuniambia kuwa na yeye amepata chuo Udom anaenda kujiendeleza,basi kwenye stori akanidokeza kuwa vipi shemeji nikasema poa.
Tukapiga story kama kawaida,mara akaiona picha ya huyo mdada,dah jamaa akaruka juu na kushika kichwa,nikashangaa nakumuuliza kwani vipi?Akasema wanawake watatuua basi nikajiuliza kulikoni?Jamaa akasema mbona ameisha kuja ata kwangu huyu mara kibao heh basi tukapiga story kama kawaida.
Baadae nikampigia simu huyu dada nikamuuliza uliwai kwenda kwa huyu jamaa akakana kata kata,basi nikamwambia mbona kasema hua unaenda basi ndo akakubali nakuomba msamaha nikamwambia poa lakini siyo vizuri.Basi akasema alidhani ningechukia kama angeniambia.
Baada ya siku kama kumi akanitumia sms kuwa ana mimba tena then anataka kuwa lonely nikamwambia kwa nini ujanitaarifu akasema siningesema hiyo mimba siyo yangu niya rafiki yangu na tayari ametoa.
Mpaka leo ata simu amebadirisha hapatikani ila kaacha nguo zake kwangu sasa ninataka kuzipereka kwao.JE MIMI NINAMAKOSA AU MKOSI GUNDU?Nifanye nini kuweza kuendelea na huyu dada coz nilimpenda sana.USHAURI NDUGU ZANGU.

Kaka. Nikikupa pole haiwezi kukusaidia kwasababu yako ni maradhi ya kujitakia.
 
Acha kutambulisha home mapema mkuu, utapeleka wangapi? Pia punguza sana trust mapema,yaani mtu anagonga field miez miwili tu unamtrust kiasi hicho hadi nguo analeta kwako?acha hizo mkuu, mapenzi yasiku hizi sio ya kukurupuka kiasi hicho unamwagia mtu limoyo lako lote pwaa,eh chukua rimoyo rangu rimekudondokea! Kwa stahili hiyo utalizwa sana.hakuna kitu kigumu kwa sasa kama kumchagua mwenza anayefaaa hivyo acha papara,nenda taratiibu.
 
Wadau wametoa ushauri,kazi kwako Bishweko bye nyungu kazilo mpola.
 
pole sana ila uwe unsali saana kama ww nimuaminiji wa mungu wakati wamtafuta huyo mwandani wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom