Ukitazama vyema utaelewa falsafa iliyotumika hapo.
OTIS
Mimi binafsi sipendi watu wanao beza taaluma!
Hila kuna mahali nimekuta pameandikwa eti"MTANGAZAJI NA MPIGA DEBE SAWA TU TOFAUTI YAO NI OFISI"Nimkereka kwa kibaza taaluma!
Pole. Wamesahau hata kipato pia ni tofauti, maybe wanamaanisha wanatumia sauti zao kujikimu. Usiwajali as long as kazi zao hazikuweki mjini, wapotezee
Nadhani aliyeandika hivyo itakuwa alikerwa sana watangazaji....
Kuna watangazaji wanaboa sana unaweza ukajaribiwa kuidharau fani yote ya utangazaji....
Watangazaji kama Kibonde, Zembwela na wengine wa aina hiyo wanatia kinyaa kwa baadhi ya watu
Hapa pia na wewe umebeza MPIGA DEBE.. mie pia umenikera!Mimi binafsi sipendi watu wanao beza taaluma!
Hila kuna mahali nimekuta pameandikwa eti"MTANGAZAJI NA MPIGA DEBE SAWA TU TOFAUTI YAO NI OFISI"Nimkereka kwa kibaza taaluma!
Mimi sijabeza ila nilicho maanisha taaluma!!mtangazaji yupo kwenye masscom je mpiga depe wa daladala yupo kwenye taaluma ipi??mpaka alinganishwe na presenter??
Nitajie shule 3 tu za wapiga debe stend ntakupa hicho cha ajabu!ambacho ni cheusi kigumu!(MIC)