KALINZI NYUMBANI
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 1,660
- 1,162
Wakuu nimeumia sana tena sana baada ya kusoma michango na thread baadhi za huyu member mwenzetu alieanzisha nyuzi hii.
Mwanaume asiyejua mapenzi, mwanaume mzigo.
Kiukweli sikutegemea kama na watu wa aina hii mpaka huku JF wapo.Lakini kwa kujiridhisha zaidi nimepitia nimichango yake katika threads mbalimbali nimehuzunika sana.Naomba wanajukwaa au madaktari wa afya ya akili kama wapo humu basi waangalie namna ya kumsaidia kijana mwenzetu.
Nimesikitaka sana tena sana.Ingawa mimi huwa natenda dhambi nyingi lakini katika hili moyo wangu umejaa majonzi.Sikuamini kama JF kama maswahibu haya yanaweza kuwepo.
Ewe mwenyezimungu tuokoe sisi wajaa wako.
Mwanaume asiyejua mapenzi, mwanaume mzigo.
Kiukweli sikutegemea kama na watu wa aina hii mpaka huku JF wapo.Lakini kwa kujiridhisha zaidi nimepitia nimichango yake katika threads mbalimbali nimehuzunika sana.Naomba wanajukwaa au madaktari wa afya ya akili kama wapo humu basi waangalie namna ya kumsaidia kijana mwenzetu.
Nimesikitaka sana tena sana.Ingawa mimi huwa natenda dhambi nyingi lakini katika hili moyo wangu umejaa majonzi.Sikuamini kama JF kama maswahibu haya yanaweza kuwepo.
Ewe mwenyezimungu tuokoe sisi wajaa wako.