Unatakiwa umjibu kuwa alianza kuku. Sasa hapa inategemea kama wewe unaamini katika "uumbaji" na si vinginevyo. Na utaanza kumweleza dunia ilivyoumbwa, wanyama walivyoumbwa, ndege walivyoumbwa, mpaka binadamu. Kwa hiyo. Utakachomweleza ataamini kabisa, na usimdanganye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.