clet 8
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 1,127
- 322
Good, Big up sana! Kwa msimamo wako nimejifunza kitu.
Hakika umeonesha uwakilishi imara, ww ni mbunge pekee Tz usiyeogopa, kwa asiyejua unacho kifanya ni rahisi kusema unajikweza na kutafuta sifa.
Tunayafahamu maovu wanayotendewa wananchi ambao hawana wa kuwasemea, umefika wakati wa ukombozi wao. Vijana tusimame imara.
Hakika umeonesha uwakilishi imara, ww ni mbunge pekee Tz usiyeogopa, kwa asiyejua unacho kifanya ni rahisi kusema unajikweza na kutafuta sifa.
Tunayafahamu maovu wanayotendewa wananchi ambao hawana wa kuwasemea, umefika wakati wa ukombozi wao. Vijana tusimame imara.