salosalo
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 596
- 278
salosalo na wewe kama mtoto vile! hizo zingine intro tu ila MAIN TOPIC UMEISOMA! Hizo stori zingine zunguka mbuyu tu au uiltaka niandike kiutu uzima?? GROW UP! Kama kina the boss na asprin dont be so tight on everything!! huku sio jukwaa la siasa wa uchambuzi wa uandishi wa thread
Alah, kummbe! Ngoja nikue haraka. Nimeshakua chapchap. Ahaaa kumbe anampenda kweli na amemwambia kimasihara lakini mwishowe anaweza ku-make kiukwelikweli eh. Max Max tukimpoteza huyu mwana JF utakuwa na la kujibu, jitokeze haraka umjibu tafadhali!