Mutambukamalogo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 397
- 85
Mbona mambo haya yanatokea wakati huu wa mvua na kibaridi. Msimu wa jua ukifika tutayasikia?.
Hebu tuelewane kidogo, umeipenda keyboard, au avatar? maana usikute unachart na dume mwenzako, hii ndio JF ya zaidi uijuavyo.
Ngoja nijirudie tu kwenye jukwaa langu la siasa, huku mnawezana wenyewe.
:hug:Habari zenu wanajf! Nafikiri kupenda si dhambi na kila mtu ana haki ya kupenda au kupendwa. Mimi nimetokea kumpenda sana binti huyu kwa namna anavyochangia mada hadi sasa napenda kukutana naye, kuzungumza naye, kukubaliana naye, kupanga naye na hatimaye kujivinjari naye. Namuomba kama atakupita hapa anipe namba yake ya simu ili tuwasiliane, ila asinipe namba ya gari kwa vile nina nia naye nzuri tu. Hata nyie akina rose80, afrodenz nk mwaweza kumshauri mwenzenu huyu ili liwezekane. Kama ana mkataba na mtu mwingine basi, Nawasilisha.:hug:
Hmaster,
Kwanza naiombe radhi kwa kuchelewa kuona hii thread sikuwa online toka asubuhi kuootkana na sababu zilizonje ya uwezo.
Wote mliochangia nawashukuruni saaaana.
Hmaster nitamalizana nae kiutu uzima. Nawapenda wooooooteee, msisitizo "I LOVE YOU ALL"
DA
ina maana movie ndio limeisha? tuondoke?ME Love you too dear........................
Hapo kwenye red haijatulia kabisa utawezaje kutupenda wote ?. Mpende Hmaster zaidi bana we vipi.
Kumekucha kumbe wamekuja hapa wakiwa wameshamaliza vipengele mhimu!!Asante kwaniaba yawote waliochangia tunawatakia safari njema na maisha mrua!!ME Love you too dear........................
Unangoja nini?walikuwa wanahitimisha ktk jf ila kitaa kabali sana!!ina maana movie ndio limeisha? tuondoke?
dah! ina maana gadaffi ndio anaondoka na dena kiulaini namna hii? haiwezekani banaUnangoja nini?walikuwa wanahitimisha ktk jf ila kitaa kabali sana!!
dah! ina maana gadaffi ndio anaondoka na dena kiulaini namna hii? haiwezekani bana
Siumeambiwa kiutu uzima wat next???dah! ina maana gadaffi ndio anaondoka na dena kiulaini namna hii? haiwezekani bana
Siumeambiwa kiutu uzima wat next???
yaani jamaa ana post 75 tu kaondoka na kifaa wakati malegend tuna post 2000 na PM 800 bado tunasota. tunaripoti abyuzi banaTablet hutaki nini sasa Hmaster umemesikia huyu...................
Mbona hiyo nimeshapotezea mamaa?unasumbuliwa na issue ya jana nini?kwani yeye kidume hana roho ya aibu?
Mmh!Kisa na mkasa??Lizzy unaonekana kuwa katili sana aisee duh
yaani jamaa ana post 75 tu kaondoka na kifaa wakati malegend tuna post 2000 na PM 800 bado tunasota. tunaripoti abyuzi bana
gadaffi wenyewe nazani hela ya cafe imeisha. huku zali limeclick yeye haonekani.Siumeambiwa kiutu uzima wat next???
Ngongo mbona unapiga ikulu?Tuko pamoja mkuu ila anaonekana kama mwanamke mbishi mbishi vile.Anyway sipendi wanawake wa aina yake sijui mwenzangu kama utamweza jiandae kufuata sheria,kanuni na taratibu amekaa kiBeijing sana.