Nina mchumba ambaye nimemchumbia na tuko kwenye mikakati ya kufunga ndoa hapo mwezi wa sita mwakani.
Jana jioni nilitoka na mchumba wangu kwa ajili ya matembezi ya jioni.
Nlipofika nyumbani kwao nikamkuta babake yupo kibarazani na mama yake.
Nikawasalimia lakini baba hakuitikia, akaanza kunigombeza kuwa mimi ni kapuku na sina vigezo vya kumuoa mwanae, akaniambia hapo hapo ulipo, toka nje.
Nikafungua geti na kuondoka.
Binti akawa nanipigia simu haongei chochote analia tuu.
Je niendelee na uhusiano huu au nijiondokee na umasikini wangu/
mzee wa kichagga
tutolee story za kijiweni hapawiki mbili zilizopita kuna rafik yangu alikuwa anafunga ndoa.....siku ya harusi ilipofika si kuna ile maharusi wanaenda saluni asubuhi then saa nane ndo ndoa inafungwa...basi bwanakumbe baba wa binti alikuwa mahali za watu wawili...huyu jamaa yangu ndo akafanikiwa kuoa...sasa siku hiyo binti anatoka saluni na mpambe wake wanaelekea kanisani....mim na bwana harusi tayari tuko kanisan... yule jamaa aliyechukuliwa mahali then akakataliwana n wazaz wa binti akiwa na nduguze... waliliteka gari la bibi harusi + mpambe.....wamekaa nao kusiko julikana kwa wiki nzina na juzi ndo wametelekezwa mahali usiku.....
mpaka mda huu ninaoongea bwana harusi yuko hosp kalazwa.......
presha iko juu sana...........
hehehe halaf imekaa kama muvi ya kanumba, aiseee!tutolee story za kijiweni hapa
Mtie mimba huyo binti baba atakukubali tu mazee,mahari kala alafu analeta za kuleta ?.
Msiwaseme vibaya wazee, kuweni na heshima japo kidogo. Jichunguze na jidadisi kwa nini utimuliwe kama mbwa?
lazima kutakuwa na kosa umelitenda
safi sana,wababa wa JF mjifunze...mkiona mkwe hana muelekeo mnampotezea...msiache mabinti zenu wakahangaika.......alichofanya huyo baba ni sawa,mtu yeyote mwenye mapenzi na mwanae would do that...!:teeth::whoo:
dah! kamanda nilizani washakupoteza, mimi bana if you do me i double do you. hakuna kurembaIf you do me...i do you!
Nimeikubali signecha yako dada! Hakuna kuremba.
Nina mchumba ambaye nimemchumbia na tuko kwenye mikakati ya kufunga ndoa hapo mwezi wa sita mwakani.
Jana jioni nilitoka na mchumba wangu kwa ajili ya matembezi ya jioni.
Nlipofika nyumbani kwao nikamkuta babake yupo kibarazani na mama yake.
Nikawasalimia lakini baba hakuitikia, akaanza kunigombeza kuwa mimi ni kapuku na sina vigezo vya kumuoa mwanae, akaniambia hapo hapo ulipo, toka nje.
Nikafungua geti na kuondoka.
Binti akawa nanipigia simu haongei chochote analia tuu.
Je niendelee na uhusiano huu au nijiondokee na umasikini wangu/
dah! kamanda nilizani washakupoteza, mimi bana if you do me i double do you. hakuna kuremba
safi sana,wababa wa JF mjifunze...mkiona mkwe hana muelekeo mnampotezea...msiache mabinti zenu wakahangaika.......alichofanya huyo baba ni sawa,mtu yeyote mwenye mapenzi na mwanae would do that...!:teeth::whoo:
heheh aminia kamanda, majuzi nilikwoti lile signecha lako ili kuelimisha jamii. i hopu haliko kopiraited , lile you better have plain waifu, acha nikaongeze uzito mwilini bana, hapa natumia imajensi protini za uzazi, tangu usku wa jana sijalamba menu.Sasa ukimdabo do naye akakutripo do.....si utachungulia kaburi ukiwa na gloves zako mkononi?
Hehehe, nani anipoteze kamanda? Mi nikiamua kupotea napotea kwa Osama style.
Shemejio mpya alikuwa kanificha sehemu.
Nina mchumba ambaye nimemchumbia na tuko kwenye mikakati ya kufunga ndoa hapo mwezi wa sita mwakani.
Jana jioni nilitoka na mchumba wangu kwa ajili ya matembezi ya jioni.
Nlipofika nyumbani kwao nikamkuta babake yupo kibarazani na mama yake.
Nikawasalimia lakini baba hakuitikia, akaanza kunigombeza kuwa mimi ni kapuku na sina vigezo vya kumuoa mwanae, akaniambia hapo hapo ulipo, toka nje.
Nikafungua geti na kuondoka.
Binti akawa nanipigia simu haongei chochote analia tuu.
Je niendelee na uhusiano huu au nijiondokee na umasikini wangu/
Mzee wa Kichagga