Ibrashinto
Senior Member
- Jul 3, 2012
- 123
- 6
Nimechaguliwa SAUT-BUKOBA branch sijawahi kufika uko na wala sifahamu panafanana vipi. msaada kwa wengine ambao kama wamechaguliwa uko au ata kama kuna mtu ndugu au rafiki amechaguliwa uko! NAOMBA SANA SANA SAAANA MSAADA WENU WANA JF TUWASILIANE nibip au nitumie ujumbe (sms) 0773109915