GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Mh! wewe nawe kuna wengine ni mouth concrete anasubiri kuanzwa yeye, sasa ikitokea hiyo nafasi na ukame ni mkubwa si ndo mtu anaona hawezi kulaza damu?Jamani wanaume jifunzeni basi hata kidogo kuwa Expensive.. yaani mko soooo cheap!! Imagine dada kakubeep tu kidogo hana sehemu ya kupumzika ushakaribisha hadi hotelini mwee.. Badilikieni bana mnaboa!