Yaani siku hizi uzinifu ndio fashion, eh!?
ulimjulia wapi,au nawe ulishampitia?endeleanaye tu kama ni ngoma tayari unayo maana huyo binti namfahamu sana tabia zake. tatizo wewe na kaka yako wote malaya
Wewe na kaka yako mna pepo la ngono, tulieni na wake zenu mtaishi kwa amani.Kaka amegundua kuwa nina mahusiano ya kimwili na nyumba ndogo yake. Ananihoji kwa simu na tayari mambo ni magumu kwenye uhusiano wao. Nifanyeje?
Quote of the day......... Platinum!sio tu fashion, bali imekuwa kitu cha kujionea fahari nacho! Mungu si mwepesi wa hasira, la sivyo angeigeuza dunia up-side-down aanze upya!
Kaka amegundua kuwa nina mahusiano ya kimwili na nyumba ndogo yake. Ananihoji kwa simu na tayari mambo ni magumu kwenye uhusiano wao. Nifanyeje?
kama ni nyumba ndogo sawa tu, mwambie ukweliKaka amegundua kuwa nina mahusiano ya kimwili na nyumba ndogo yake. Ananihoji kwa simu na tayari mambo ni magumu kwenye uhusiano wao. Nifanyeje?
ndo umeshajua sasa achia ngaz bassi mwambie ulikuwa hujui?
tatizo ni ni hapo?
Kapime afya! Ogopa mtandao wa Ngoma, mtamaliza kaukoo shauri zenu!