Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
kumbe una mitamaa hivyo tena,duh! pole bro.Nilijua tu!
ikatokea siku hiyo shetani kamtembelea mwanawake akaduduz ndogo tu, mwanaume huwa hawaelewi kabisa inakuwaje shetani akampitia mtu na kufanya duduz hata kama yeye jana yake katoka kujitetea kuwa kapitiwa na shetani akarudi nyumbani asubuhi!
Pole Baba Zai kwa mkasa uliokupata. Am sorry to say that it was all human weakness and you failed to with hold your feelings and temptations after all we human being we inherited this from Adam and Eva and is the curse that we all have to learn to live with.
Well let you confess to your wife and apologize for what had happen and explain the reason why you failed to resist and let the house girl live away from your current residence then take care of the kind after birth then plan with your wife to have the kid back with you when he/ she reaches the right age. Don't get mad about it afer all who doesn't!
[/COLOR]
Is it? who doesnt???!!!
mindboggling uhh!
Watu wenye mentality kama hizi hawana maadili mema hata kidogo! Hawashindwi kuwarudi hata waoto wa kuwazaa wenyewe.....How can you stoop so low!!.....Ni kweli Mbega Mzuri,unakuta hausigeli anapewa funguo za chumba cha Mr&Mrs afanye usafi wa chumba anapewa na nguo azifue;kwa mazingira kama haya jamani,hatimaye tunakuja kulaumiana kama hivyo.Mimi binafsi huyu jamaa mimi siwezi kumlaumu kwa lifestyle ya kizazi hiki tulichonacho.
Jamani kwa nini hamtumii kinga? Hamuogopi UKIMWI na magonjwa ya zinaa? Mtunze huyo binti na umweleze mkeo uchafu ulioufanya na Housegirl wako ambae ninadhani mkeo ndie aliyemtafuta. Kama dini yako inaruhusu kuwa na wake wawili au zaidi fanya mipango ya kufunga ndoa ya pili. Ila ninawasiwasi kama unamtoto wako wa kumzaa wa kike unaweza kumfanya ulivyomfanya huyo aliyekuwa housegirl wako ambae kwa sasa ni mkeo wa pili. Ninampa pole huyo mkeo.
...wajibu ni kitu muhimu sana, lakini kama Mchongoma unadhani tunajichongea wenyewe, sbiri hapo hapo sahau wajibu wako utaniambia siku moja.
Its Shame!!!! Ina maana kama mkeo anarudi usiku ndo uwe kicheche hivyo? Huyo anaweza kuwa mwanao,,,, acha tamaa,, shindwa na ulegee,,, kila mahali