Naweza kuja kukusaidia kufanya kampeni niko tayari kutoka hapa dar nije kwa sababu lameck na ochere awana uwezo wa kuiongoza rorya nakuleta maendeleo hilo linajulikana kabisa cha msingiiiiii kama unanitaka nitakuja na team yangu nzima mpaka hapo tufanye mambo tutakupa spport kubwa sana kwa sababu hata mimi nimenunua tender hapo ili niwe na service computer za halmashauri najua kwa ubinfsi wa ochere na lameck kwa nafasi zao inawea kuwa kikwazo kikubwa sana kwa sababu wana watu wao ambao watawaleta, wasiliana na mimi kwa pressdown@hotmail.com