Nimesoma nae kidato kimoja,sasa....

KASSEMBE

Member
Aug 4, 2011
8
0
Nlikuwa na mpenz wang ambae nmedm nae kwa miaka mng,wakat namalza kdato cha 6,na yeye ndo alikuwa anamalza chuo cha ualm,kzazaa kmetokea mara baada ya yeye kpangiwa mkoa jiran na kwetu,na kjj alchopangiwa hakna ht netwek,kwa hyo cna comncation nae tena,ukwel bado nampenda,shle anayofndsha cifaham,wana MMU,nfanyaje?
 
Nlikuwa na mpenz wang ambae nmedm nae kwa miaka mng,wakat namalza kdato cha 6,na yeye ndo alikuwa anamalza chuo cha ualm,kzazaa kmetokea mara baada ya yeye kpangiwa mkoa jiran na kwetu,na kjj alchopangiwa hakna ht netwek,kwa hyo cna comncation nae tena,ukwel bado nampenda,shle anayofndsha cifaham,wana MMU,nfanyaje?

Daaah umesoma wapi wewe?
 
Daaah umesoma wapi wewe?

ahsante nilitaka nimwambie hivyo hivyo..... mod naomba kama mnaniruhusu niwe nikiona lugha za namna hii nabonyeza report abuse, naomba ruhusa nitawaleta wengi kweli..... hawa watoto wa shule kazi kweli kweli!!
 
ahsante nilitaka nimwambie hivyo hivyo..... mod naomba kama mnaniruhusu niwe nikiona lugha za namna hii nabonyeza report abuse, naomba ruhusa nitawaleta wengi kweli..... hawa watoto wa shule kazi kweli kweli!!
Huna hata haja ya kuomba ruhusa. Kiuungwana tu unaweza kumkanya mara moja, akiendelea bonyeza abuse. Mods wameruhusu hilo.
 
ahsante nilitaka nimwambie hivyo hivyo..... mod naomba kama mnaniruhusu niwe nikiona lugha za namna hii nabonyeza report abuse, naomba ruhusa nitawaleta wengi kweli..... hawa watoto wa shule kazi kweli kweli!!

im not mtoto wa shule men,nna maisha yang,understand,iyo six n longtym ndo nmemalza.
 
ushauri hauhitajiki kwenye kila jambo unless tunataka tuendeshwe kwa auto-pilot sasa
 
Dah yaani umejiunga JF ili uonyeshe ufundi wako wa kufupisha maneno, kama vipi editi hiyo post yako ili ieleweke vizuri.
 
Jifunze kuandika kwa ufasaha....


:focus: Nenda kamtembelee huko kijijini...
 
aisee distance kwenye mapenzi ni issue ukiongezea lack of mawasiliano imekula kwako.....we jitose nenda kamtafute
 
hajui hata kijiji anachofundisha kinaitwaje.

Ni sawa na mtu kuuliza njia ya kwenda popote.
Si aende tu popote maana hajui aendako.

Jifunze kuandika kwa ufasaha....


:focus: Nenda kamtembelee huko kijijini...
 
im not mtoto wa shule men,nna maisha yang,understand,iyo six n longtym ndo nmemalza.

Hakuna dhambi yoyote kama ukikubali kukosolewa na ukarekebisha makosa yako!! Lugha uloandika ni sawa na watoto wa form two wanaotumikia message za cheka time, so usiwe mbishi sana hata kama ni mtu mzima na una mkwanja wako!!
 
Teknolojia ya simu imekuja majuzi tu!kwani kabla ya hapo tulikuwa tunawasiliana vipi?Kama kweli wewe ni old boy basi utakuwa unajua cha kufanya,nunua karatasi ya maua stationery,andika barua peleka posta subiri majibu!au nenda mwenyewe.
 
Back
Top Bottom