Nlikuwa na mpenz wang ambae nmedm nae kwa miaka mng,wakat namalza kdato cha 6,na yeye ndo alikuwa anamalza chuo cha ualm,kzazaa kmetokea mara baada ya yeye kpangiwa mkoa jiran na kwetu,na kjj alchopangiwa hakna ht netwek,kwa hyo cna comncation nae tena,ukwel bado nampenda,shle anayofndsha cifaham,wana MMU,nfanyaje?