Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Akiongea ITV leo jioni Mkuu wa mkoa wa DSM amedai kuwa serikali itaongea na kampuni ya AZAM MARINE ili watanzania bara waliopoteza ndugu zao kwenye ajali ya meli Zanzibar ili kesho au keshokutwa waweze kwenda Zanzibar kwa gharama zao waone kama watawatambua ndugu zao. Jambo hili ni aibu kwa serikali inayojiita makini kushindwa kutoa hata msaada wa usafiri kwa wafiwa ili wakajaribu kwenda kuona kama wanaweza kupata miili ya ndugu zao