Habari hii nimeitoa kwenye yahoo featured news, inasikitisha kuona kuwa uchumi wetu kama nchi haufiki kiasi cha pesa alichonacho hata mtu wa 10 kwa utajiri duniani. Mbaya zaidi wametutaja kama nchi masikini.
Kilichonihuzunisha zaidi ni kule kutajwa kama nchi masikini, kwani Tanzania ni nchi masikini kuliko zote? and sio mara ya kwanza kuona tunatajwa kwenye vitu vya hovyo, inakuwaje wenzetu hasa Kenya hawatajwi? wanatumia mbinu gani ili wasitajwe kwenye vitu vya hovyo?
Hii ni sehemu ya hiyo habari
How about a country? A quick glance at the CIA Fact Book suggests the individual fortunes of many Forbes 400 members are as big as some of the world's economies.
Bill Gates, America's richest man with a net worth of $50 billion, has a personal balance sheet larger than the gross domestic product (GDP) of 140 countries, including Costa Rica, El Salvador, Bolivia and Uruguay. The Microsoft (MSFT) visionary's nest egg is just short of the GDP of Tanzania and Burma.
Warren Buffett, who lost $10 billion in the past 12 months and is this year's Forbes 400 biggest dollar loser, still has a fortune the size of North Korea's economy at $40 billion. (The Oracle of Omaha probably would steer clear of that investment, though.)
Kilichonihuzunisha zaidi ni kule kutajwa kama nchi masikini, kwani Tanzania ni nchi masikini kuliko zote? and sio mara ya kwanza kuona tunatajwa kwenye vitu vya hovyo, inakuwaje wenzetu hasa Kenya hawatajwi? wanatumia mbinu gani ili wasitajwe kwenye vitu vya hovyo?
Hii ni sehemu ya hiyo habari
How about a country? A quick glance at the CIA Fact Book suggests the individual fortunes of many Forbes 400 members are as big as some of the world's economies.
Bill Gates, America's richest man with a net worth of $50 billion, has a personal balance sheet larger than the gross domestic product (GDP) of 140 countries, including Costa Rica, El Salvador, Bolivia and Uruguay. The Microsoft (MSFT) visionary's nest egg is just short of the GDP of Tanzania and Burma.
Warren Buffett, who lost $10 billion in the past 12 months and is this year's Forbes 400 biggest dollar loser, still has a fortune the size of North Korea's economy at $40 billion. (The Oracle of Omaha probably would steer clear of that investment, though.)