BRUCE LEE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 2,096
- 1,332
ni kweli mtu mzima. Mkwere anajiachia sana kwenye makasino ya huko na ma clubs mbona kashapiga picha na akina jey zee, bow wow, luda criss, p did na lil wine haujaziona mwana?alienda madrid akapiga picha na beckham, chicago bullz akajia chia na akina derick fisha, stive na masela wengine. Mkwere utafikiri kabalehe jana. Yaani kazi ipo.