Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 130
Heading ibadilishwe, iwe 'NIMESHINDWA NAHAMIA CCM' kuonyesha hutaki chadema, maana mnafiki wa staki nataka atataja chadema
NAMBARI WANIIEEEEEEH NAMBARI WANII NAMBARI WANI NI CCM,NJOOONII NJOOONI ktk nambari wani ni Jk.Karibu CCM mwana mpotevu
Kaa huko huko CCM. Huna ubavu hata nukta kuwa mwanachadema. Fortunately wewe tunakufahamu vizuri na twaijua hata namba ya kadi yako ya CCM, shida ni kwamba haturuhusiwi tu na sheria za JF ku expose siri za watu. Simply let me say usije Chadema as we have no room for you.Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Mag3, unamaana asiporudi tujue nini imetokea? .. yaani kapenda! Oh shit! Punguzeni basi kidogo. Nadhani atazinduka sasa.Nenda Kishongo, nenda huko CCM ukageuzwe hasusa kwani huko ili uruhusiwe kula sharti ukubali kuliwa kwanza !
Wewe umeona nimetoa mada ya kuhama CCM na kuhamia CHADEMA kwa hiyo umeona kama nimewabomoa CCM na hivyo Makamba kakutuma ubandike hapa huu uzushi. Sasa kwenye mada yako hii kwa kuwa unajifanya kujibu ya kwangu weka kadi yako hapa kama uthibitisho na mimi nitaweka yangu ya CCM ambayo jumatatu hii naikabidhi kwa CHADEMA.
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Very good observation.
.... it is a shame to this party (CHADEMA)!
Usilaani ili nawe usilaaniwe! Angaliwa mabaya unayowatakia yasikurudie wewe. Mungu akusamehe.
Kikwete na Serikali yake ni chaguo la Mungu na Watanzania.
Mungu hawezi kusikiliza dua mbaya dhidi yao.