Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Nenda haraka karudishe kadi kwa mkwere atakuchagua kwenye viti maalum, si wameongezewa viwili na NEC kimoja chako.Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Ama kweli waswahili walisema Nyani haoni k......!!!wewe unamshutumu mwenzio kwamba hajui democracy,democracy gani uijuayo wewe usiyetaka kumpa uhuru mwenzio wa kuamua anachotaka?Democracy Is for people by the people to the people.Huutufai na hujui nini maana ya democracy ya kweli na hujui upo wapi na unatakiwa uwe wapi na nafikiri hata hujui Tanzania ipo vipi na enaendeshwa vipi.Nakushauri ukisharudisha kadi yako kaa kwanza utafakari kabla ya kujiunga na CCM
Tambwe Hiza type mko wengi sana.Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Kumbe hata wewe umegundua jamaa keshapotea tayari... MwanaMpotevu... Aende kwa wazeee huko wakaongee ya bagamoyo na waganga wa jadi...Karibu CCM mwana mpotevu
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.