Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,249
With a wife like you, who needs to get married. Bora kuwa mwanachama wa chama cha "Wagumu".Aku anipishe mie...sikutoka kwetu kufata ugali. hawezi kazi simply akae kando, kama damu inachemka kwanini nizeeke kwa kutamani ikiwa yeye hawezi. Domo chafu...kazi hawezi kipi kiniweke?