Nimeshindwa kufanya maamuzi.

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Nipo kanisani,ni mda wa sadaka,kuna roho inaniambia nitoe sadaka,
halafu kuna roho nyingine inaniambia nisitoe sadaka halafu niende kunywa nayo supu nijenge afya.
dah sijui niheshimu roho ipi.
 
wewe ni ibili katika watu wa mungu anawezaje kuchat kwenye mtandao hali kadhalika uko ndan ya kanisa kweli nakuambien anayeshika jembe huku angalia nyuma huyo si mkulima
 
Na utoe sadaka ukiwa unamaanisha,na utubu hiyo dhambi ya kutokuwa na msimamo na nyingine ulizo nazo.
 
Nipo kanisani,ni mda wa sadaka,kuna roho inaniambia nitoe sadaka,
halafu kuna roho nyingine inaniambia nisitoe sadaka halafu niende kunywa nayo supu nijenge afya.
dah sijui niheshimu roho ipi.

una matatizo makubwa kijana
simu ibadani ya nini
 
wewe ni ibili katika watu wa mungu anawezaje kuchat kwenye mtandao hali kadhalika uko ndan ya kanisa kweli nakuambien anayeshika jembe huku angalia nyuma huyo si mkulima
teknolojia mkuu
 
huyu moungo hayupo kanisani au kakaa nje halafu anasema yuko kanisani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom