kweli aiseeMkuu ungetufanyia favor kama Abdulahim Kubadilisha hiyo avatar.
ni hilo tu!!
heshima kwako mkuu, safari ni ndefu bado, tusichoshane mapema
Umeshinda kwa kishindo na utete maslahi ya wa Tz kwa kishindo
utaisimamiaje serekali ya ccm, wakati huo sio msimamo wa chama? rejea post yako nyuma uliosema kwamba uliunga mkono Six kunyag'anywa kadi kwa sababu hakua anacheza santuri ya chama, huoni hapo umeisha anza kuji kanyaga? na umeona kaka/dada zako waliokuwa na tabia hizo wameondolewa kwenye kinyanganyiro cha ubunge.nashukuru sana mkuu, hilo hasa ndilo lililonisukuma kugombea, mwaka huu mtashangaa mbunge wa ccm akiisimamia vilivyo serikali ya ccm!!! tuombeane tuvuke salama
asante sana na sitakwa na suluhu na mafisadi, believe me!!
umenena mkuu, lakini kumbuka mtu mtulivu huchagua kw utulivu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
sio swali zuri hata kidogo kwani upashanaji habari si lazima uwe wa aina ya interview ama usaili!
nashukuru kwa kunitia moyo. sina woga wala wasiwasi hata kidogo, nimejiandaa vizuri na chama changu kiko sawasawa mkuu, jimboni kwangu tutashinda ngazi zote
hapana mkuu, natumia za CCM, za cadema bado hazijatamadunishwa kitanzania
kati ya watu ambao sipendi kufanana nao ni hao uliowataja. binafsi niliunga mkono sita alipotakiwa kupokonywa kadi ya ccm. huwezi kuwa CCM kisha ukapiga siasa za kudandia kama unacheza santuri za muziki, hao uliowataja wamepungua sana kwenye mizani ya weledi
mimi ni mwanasiasa na mrema hajapata kuwa mwanasiasa hata siku moja bali siku zote anafanya biashara
utajua soon mkuu, vuta subira
jina na jimbo vinafuata soon