Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Wenye ndoa siku zote nawasihiii mtumie njia ya hit and run lakini nyinyi mnataka kujipumnzisha kabisa nyumba ndogo
kuna kunogewa wewe.
Wenye ndoa siku zote nawasihiii mtumie njia ya hit and run lakini nyinyi mnataka kujipumnzisha kabisa nyumba ndogo
kuna kunogewa wewe.
Procrastination is the art of keeping up with yesterday
Hahaha!!! Arifu msaidie jombaaAnd who is the procrastinator?
Nani kakushika na kakushika wapi hadi ukanogewa?
Unajua kiswahili kimekua siku hiziwe mbona hivyooooo? usinikondeshe mtoto wa watu.
we mbona hivyooooo? usinikondeshe mtoto wa watu.
Unajua kiswahili kimekua siku hizi
Sijakunyima chakula
kiswahili kimepanuka.
Chunga vidole vyako usije tukana ukalia na Paw.
Chauro umeshikwa na nani??pole mwaya umeshikwa au umejishikisha.......................
we ushatukana matusi mangapi?
Ukishikwa na wewe shika
Chauro umeshikwa na nani??
inategemea babu wewe.(utakoma nishaanza mipasho)
Haya pasha nipashike na ukinivutia ntakupa kitu plasma hd hdmi uachane na huo mtivii wako wenye kichogo kaa kichwa cha kloro