BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
kinachokuchanganya ni nini kama mlikuwa mnavaana bila kinga??
hawa vijana wa siku hizi wa saniii. yaani baada ya kusikia mimba ndo anapata wasiwasi. ningemjua huyu mwanamke ni nge m coach namna ya kukaba huyu bondo flava anayetaka kukwepa kunywa kikombe chakeWewe umesema mara ya mwisho kufanya naye mapenzi ilikuwa tarehe 3, je mara ya kwanza ni lini?
Na mmeshafanya mara ngapi?
Duh kweli vijana tunavyofanya vitu tunatakiwa kuwa makini mm nina umri 21 nafanya kazi kwenye ofice private ..ktk shughuli za kikazi kuna mdada mkampenda naye akanipenda tukaanzisha uhusiano ambao umedumu kwa miezi 4 mpaka sasa cha ajabu mara ya mwisho kukutana kimwili tarehe 3.09.2012 jana ananipigia cm ananiambia ana ujazito wangu jambo ambalo limenichanganya xana mpaka nkaomba ruhusa niende home naumwa je ni kweli inawekezana au anataka kuniuzia mbuz kwenye gunia naombeni msaada nfanyaje .!kama makosa nimeshafanya sitak kulaumiwa thanks a lot wanajf.
kinga ya nini utakulage pipi kwenye karatasi mkuu
kinga ya nini utakulage pipi kwenye karatasi mkuu