Ndo nataka j'tatu nkapime kwa 7 bado cjamini kabisa.
hivi mtu huna mpango wa kuzaa nae,ipite wiki mbili tu baada ya kudo anaenda kupima mimba?kwa uzoefu wangu hapa mbwa kala mbwa bana!
iwe mushaija,siku hizi kiswahili sijui kinapelekwa wapi?yani tarakimu zimekuwa herufi na herufi zimekuwa tahajia basi mradi fujo tu ,haishangazi kuona siku hizi vijana hawaju kiswahili wala hawaju kiingereza kwa mfano!ah!hiyo namba saba hapo ina maaanisha nini kwenye hiyo sentensi?
Aisay we wacha tu oamnapendana sana, afu huamini kama umemtia mimba???
Mapenzi ya siku hizi bana!
Mkuu,hawa watoto wanatusumbua sana hapa JF,miaka 21 una mpenzi?Halafu eti unampenda!Khaaa!
we achaa tu,ndo tutafanyaje sasa?mara wengine wanauliza nikiliwa koni kuna madhara,mara nataka wa kuzaa nae kwa mkataba mama kanituma,mara ntaka wa kutoka nae weekend hii,mara ukimfanyia hiivi msichana gani atakataa,mara jinsi ya kumla tigo mpenzi wako,bas mradi tu MMU imekuwa kitu gani sijui!
hiyo ,imba itakuwaje ya miezi jamana wakati ndoa kwanza wamedo tar 2 mwezi huu?
Inawezekana kabisa akawa ameshika mimba kwasababu kitalaamu dalili huanza kuonekana kuanzia siku ya 10 hadi 14 baada ya tendo.Nakushauri ujiandae tu kukabiliana na hilo tatizo la kulea mtoto.
Ndo nataka j'tatu nkapime kwa 7 bado cjamini kabisa.
Ndo nataka j'tatu nkapime kwa 7 bado cjamini kabisa.
tarehe 3 .09.12 ni tarehe ya mwisho ya ku do na siyo ya kwanza. huyu kijana jeuri abebe mzigo wakehiyo ,imba itakuwaje ya miezi jamana wakati ndoa kwanza wamedo tar 2 mwezi huu?