Loly
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 509
- 209
hakuna ugonjwa wa kurithi hizo ndio imani potofu sasa, mie nakueleza hilo ni pepo huelewi, na katika watu wanaosumbuliwa na mapepo ni hao wanaojíita watumishi wa mungu, kwahiyo waeleze hilo sio tatizo la kihospital hiyo spiritual problem waombe mtoto atapona kwakifupi wazazi wa huyo mtoto ndio imani zao zinaumwa ndo maana wamekubali mtoto wa 2.5 anasukari hiyo ni maajabu hata kwa madoktaunajua mshangao nilio nao una maana kubwa.?hawa wazazi wa huyo mtoto wote ni watumishi katika kanisa.pia hapo juu kuna mchangiaji kasema huo ugonjwa ni wakurithi. Nimejaribu kufanya utafiti wa haraka haraka nikaona kwa upande wa mume hawajawahi kupata huo ugonjwa.hata upande wa mwanamke ambao ndiyo upande wetu pia hatujawahi kuuguza/kuugua kisukari.