Nimeshakosa tena nipo 2 hopeless......tcu tcu aya

Slaker

JF-Expert Member
May 11, 2012
237
28
Jamani rght on tyme me n best frnd angu 2meandikiwa not eligible koz 2 za ardhi wakat zilikuwa eligible kipind chote...land management and valuatn na buildng survey xote n egm point 13.....post za jesh znapatkana wap jaman....help us plz.......
 
Hiyo si guarantee kwamba umekosa bado hata hawaja publish admissions, infact hiyo system yao haieleweki mara ukute eligible mara not eligible,mi nadhani cha msingi ni kusubiri na kuona wanasemaje,ila si muda wa wewe kutoa conclusion yako!!!!
 
Thanks bro 4 gvng us hope .....koz we thought 2me b sacrified ...kumbe system yenyewe imechanganykiwa............xaxa y 2liwah huku...!???? 2napeana headache 2,,,,,!
 
Nakushauri kesho wapigie simu wakupe info za kutosha. Though watu wa adimission ni wadada wananyodo za hapa na pale me niliwapigia siku 4 mfululizo tena sio chini ya mara 3 kwa siku.
 
Npe namba zao,maaaana hii elimu ya tz nmekata tamaa nayo magumashmagumash meng na huuu umaskin ndo daaah nachokah kabisa,n2pie manamba hayo
 
mimi kuna kozi nilikua nimeandikiwa not eligible lakini nimelogin leo nimekuta zimekua eligible na nyingine chek in progress..nadhan wanazicheki upya
 
Kuna k2 ktakuwa knaendelea 2 huko tcu,,,,,,daaah unaweza ukatoka second selektion hivihv,,,,
 
nenda kalime sio lazima kusoma..mungu ana makusudi yake..nenda kalime utakuja mjini kuleta mazao wakati wa mavuno
 
Jamani rght on tyme me n best frnd angu 2meandikiwa not eligible koz 2 za ardhi wakat zilikuwa eligible kipind chote...land management and valuatn na buildng survey xote n egm point 13.....post za jesh znapatkana wap jaman....help us plz.......
Slaker UMENIUDHI!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Enzi za upolisi na jeshi kuwa kimbilio la waliofeli zinaelekea ukingoni...watch out!!!!
me cjafeli mkuu, xema qualified bt not selected....xo ujesh ntajishkza 2 4 a mean tym thn ntaxomaga mbele kwa mbele huko.....catch me..??
 
me cjafeli mkuu, xema qualified bt not selected....xo ujesh ntajishkza 2 4 a mean tym thn ntaxomaga mbele kwa mbele huko.....catch me..??

My point is..usifanye kitu kwa kuwa ulichotaka umekosa..are you sure hakuna alternatives za kupata ulichokuwa unataka kusoma?
Na ukiingia huko jeshini...si ndo nyie mtakao kuwa mnauwa raia wasio na hatia maana hata wito wenyewe huna...uliingia tu kwa sababu u were not selected (ndo kufeli huko...)!??? Where will efficiency and effectiveness and creativity kwa kazi come from!??? catch me???
 
My point is..usifanye kitu kwa kuwa ulichotaka umekosa..are you sure hakuna alternatives za kupata ulichokuwa unataka kusoma?
Na ukiingia huko jeshini...si ndo nyie mtakao kuwa mnauwa raia wasio na hatia maana hata wito wenyewe huna...uliingia tu kwa sababu u were not selected (ndo kufeli huko...)!??? Where will efficiency and effectiveness and creativity kwa kazi come from!??? catch me???

I've never got what i wanted till diz tyme in diz world...xo am consider maself az knd of badlucky......bt am trustng tht there's always tha way 4 me........in God i trust,....,,
 
Back
Top Bottom