Nimesamehe ila nashindwa kusahau

Kovu lazima liwepo,na maumivu kupoa inahitaji muda,unachohitaji ni kuwa karibu zaidi na mumeo,aonyeshe kujali zaidi,na wewe vivyo hivyo na hatimae litakuwa historia.Naamini hii itasaidia
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom