Nimeruka ukuta.

Sangomwile

JF-Expert Member
Aug 17, 2012
3,195
1,021
Nimekuja kujisalimisha,niliingia majukwaa mengine ya JF bila ya kupitia hapa.Hakuna sababu ya kuniitia mwizi,nipo mlangoni hodiiii.
 
Nilivyoona tu heading nikaja mbio nikidhani ndo yaleyale ila kakosea jukwaa, atupe jibu kama anajua maana ya kauli yake!

Haa haaa,Baba V taratibu angalia usije mrithisha V (Vicky?) hayo mambo.
 
Back
Top Bottom