Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,491
- 92,908
Badly i never mis u, & i will never mis u!!
Niliwamisi sana hapa jamvini, nilipigwa bann ya siku 30 tangu 19/12/2011-19/01/2012. Nawashukuru sana wale wote walionimic pia ng ninawatakia heri ya krismas na mwaka mpya. Habari zenyuuuuu hap to b back again.
We didn't notice that you were gone
Niliwamisi sana hapa jamvini, nilipigwa bann ya siku 30 tangu 19/12/2011-19/01/2012. Nawashukuru sana wale wote walionimic pia ng ninawatakia heri ya krismas na mwaka mpya. Habari zenyuuuuu hap to b back again.
Sasa nani anakuonea wivu?? Mie hata sikujua kama haupo na hii ID ndo kwanza naiona leo..................
Wewe ungesema umetoka kwenye BAN mambo ya wivu yanatoka wapi
Ban? au ndio ulisimamishwa chuo? sasa umerudi computer lab. ya chuo!! Kitaa mchezo mwanawane! hata kuingia neti tu utata!!
sasa tulia chuo usifukuzwe tena ukamic kuingia JF via Desktop za college lab.
marhabaaaaaaa mtoto mzuri,hujambo!Shkamoo. .
taratibu shemeji!Sasa nani anakuonea wivu?? Mie hata sikujua kama haupo na hii ID ndo kwanza naiona leo..................
Wewe ungesema umetoka kwenye BAN mambo ya wivu yanatoka wapi
taratibu shemeji!
DA habari za saa hizi mwanadada?