Nimerudi tena wenye wivu wajinyonge

Niliwamisi sana hapa jamvini, nilipigwa bann ya siku 30 tangu 19/12/2011-19/01/2012. Nawashukuru sana wale wote walionimic pia ng ninawatakia heri ya krismas na mwaka mpya. Habari zenyuuuuu hap to b back again.

Exellent analo mwaka huu...
 
Niliwamisi sana hapa jamvini, nilipigwa bann ya siku 30 tangu 19/12/2011-19/01/2012. Nawashukuru sana wale wote walionimic pia ng ninawatakia heri ya krismas na mwaka mpya. Habari zenyuuuuu hap to b back again.

Ban? au ndio ulisimamishwa chuo? sasa umerudi computer lab. ya chuo!! Kitaa mchezo mwanawane! hata kuingia neti tu utata!!
sasa tulia chuo usifukuzwe tena ukamic kuingia JF via Desktop za college lab.
 
Ban? au ndio ulisimamishwa chuo? sasa umerudi computer lab. ya chuo!! Kitaa mchezo mwanawane! hata kuingia neti tu utata!!
sasa tulia chuo usifukuzwe tena ukamic kuingia JF via Desktop za college lab.

kwani hana hata kicellular chenye net..
 
Naenda kununua kamba nijitundike. Lol. Karibu uwe na adabu, kuna wakubwa zako humu.
 
Mh! Iyo ban naona imekurusha akili.
Merry Christmass leo?
Au ndo unatuwish ya comming Dec kabisa?
 
Back
Top Bottom