Nimerudi salama-Niliwamiss sana

Status
Not open for further replies.
mi naamini hoja ya msingi hapa ni KUMKARIBISHA,mheshimiwa regia jamvini......!

mambo mengine naona huyo kiranga anakuwa too theoretical!

for your information kiranga ni kwamba regia ATAINGIA BUNGENI!

karibu sana dada-lake-na-mimi!

achana na ''siasa-za-vitabuni'' za huyo kiranga!

TUNAANDAA KIKAO KIKUBWA SANA NA POMBE NYINGI SANA katikati ya wiki....!hiyo ndo kazi yangu bwana

Ewaaaaa! wewe hapa ndio umerudi kwenye mada kuu ya hii Sredi.

mambo ya kulazimishana sijui mtu akae wapi ndo anastahili kugombea uongozi, si mada ya kujadili hapa.
 
Kupumzika baada ya kampeni ni lazima kuondoka Kilombero ?
mtanzania yeyote ana haki ya kupumzika popote pale. Kiranga hawezi kupangia watu maisha!

Ukisema Regia kaamua kuja mjini kwa sababu kaamua siasa tena yeye basi utakuwa unakubali kwamba Regia alikuwa hana interest ya moyoni kusaidia maendeleo Kilombero, alikuwa anatafuta ajira tu na ukubwa sasa imeshindikana hana muda wa kupoteza huko bush.
si kweli hata kidogo. Kutumikia nchi yako au jimbo lako si lazima uwe mwanasiasa. Labda wewe tu ndo unadhani kuwa siasa ndo njia pekee ya kulitumikia taifa
Mtu mwenye nia ya kuleta maendeleo Kilombero hata akishindwa ubunge atatafuta namna nyingine ya kufanya kazi na watu wa huko, sio kuwakimbia wiki moja baada ya uchaguzi.

unaijua mipango yote ya regia wewe?
 
speed in a wrong direction is irrelevant

Unajitahidi sana, lakini unavyozidi kujitahidi ndivyo unazidi kujiadhiri.

Actually speed in the wrong direction is very relevant. Because the more you move in the wrong direction the further away from the right destination you get. One must always head in the right direction.

Na hapa Regia amekuwa na speed in the wrong direction. Badala ya kuzama zaidi Kilombero na kuwajua zaidi wananchi wa Kilombero, yeye wiki moja tu baada ya uchaguzi kawakimbia.

Speed in the wrong direction, very relevant.
 
Kama hujui huna haki ya kubishia hoja zangu kuhusu wawakilishi na wadau wanaojinadi kutaka uwakilishi kuwa karibu na wananchi, mimi najua Regia Kilombero si primary domicile yake.

swali langu umelipiga chenga ya mwili. Unaijua mipango ya regia wewe (licha ya madai yako ya kujua makazi yake yako wapi)
 
Hii concept nzima ya "kurudi" kutoka Kilombero mimi napata tabu nayo sana. Inaonekana Kilombero -pamoja na majimbo mengine ya vijijini- ni sehemu za kwenda wakati wa uchaguzi tu, uchaguzi ukiisha watu wanarudi kwenye shughuli zao za kawaida mijini.

Badala ya wagombea walioshindwa mwaka huu kubaki huko vijijini kuimarisha vyama vya upinzani, kuisadidia jamii pamoja na kupanga mikakati ya kushinda hivi viti katika uchaguzi ujao, tunaona increasingly "wanarudi" mijini.

Wapinzani wakiendelea kushindwa katika kila chaguzi zijazo watashangaa kweli kwa mwendo huu wa kwenda majimboni nyakati za chaguzi tu, na chaguzi zikiisha wanarudi mijini kwenye mitandao na urahisi wa maisha ?

Tunawatendea haki wananchi kweli kwa mwenendo huu ?[/QUOTE

Kakwambia haendi tena??
 
Karibu GS.... tumekumiss sana na nakupongeza kwa mapambano... Tuombe uzima tukae tunywe soda, tuombe misa ya sukrani na kuangalia mbele

Binafsi naomba u-protest yale matokeo kwa kufuata taratibu, najua umechoka na inawezekana finances zikawa tight lakini naomba usichoke... we have high hopes
 
Karibu sana Regia tupo pamoja.

Achana na Kiranga wivu unamsumbua tu hana lolote.
 
Karibu sana Regia tupo pamoja.

Achana na Kiranga wivu unamsumbua tu hana lolote.

Nimemkumbuka rais wangu mstaafu Mheshimiwa sana Mkapa... "WATU WENGINE WANA WIVU WA KIKE" Hivi kuna wivu wa kike na wa kiume?
 
mimi sipendi manyanyaso na uonevu aisee. Dada wa watu kapigana kufa na kupona huko kilombero licha ya mizengwe aliyokumbana nayo halafu anarudi hapa kutujulia hali halafu anaanza kushambuliwa bila sababu ya msingi. Lazima nimkingie kifua. Dada wa watu hajatamka ana mipango gani lakini tayari watu washaanza kumpangia. Ila diana wa pale calabash kachangia sana huu wema (teamo anamjua huyu). Wako katika ujenzi wa taifa nn aka mzee wa byuroo lol
kweli mkuu NN,

sometimes we behave kama sisi ndio wagawa riziki, jamaa hata kuuliza umerudi una mipango gani? hakuna, kaanza front na kuonyesha kama sijui nini vile

WE HELP EACH OTHER CONSTRUCTIVELY AND NOT BY CRITICIZING ALONE
 
mi naamini hoja ya msingi hapa ni kumkaribisha,mheshimiwa regia jamvini......!

Mambo mengine naona huyo kiranga anakuwa too theoretical!

For your information kiranga ni kwamba regia ataingia bungeni!

Karibu sana dada-lake-na-mimi!

Achana na ''siasa-za-vitabuni'' za huyo kiranga!

Tunaandaa kikao kikubwa sana na pombe nyingi sana katikati ya wiki....!hiyo ndo kazi yangu bwana
loud and clear cousin--- pamoja kama kiranga na ubishi
 
...

Binafsi naomba u-protest yale matokeo kwa kufuata taratibu, najua umechoka na inawezekana finances zikawa tight lakini naomba usichoke... we have high hopes

You are requesting her to protest the results, regardless of the tight finances.
Mwisho unampamba kuwa una high hopes. This psychological push mnayowapa wenzenu hapa inawafanya wachemshe kwa kuwa wanaacha kufikiri kivyao zaidi, wanafikiri kuwaridhisha wapambe.
Wapambe nuksi.
 
mtanzania yeyote ana haki ya kupumzika popote pale. Kiranga hawezi kupangia watu maisha!


si kweli hata kidogo. Kutumikia nchi yako au jimbo lako si lazima uwe mwanasiasa. Labda wewe tu ndo unadhani kuwa siasa ndo njia pekee ya kulitumikia taifa


unaijua mipango yote ya regia wewe?

Sawa sawa,

Lakini kina Simon Mbilinyi walivyoenda kupumzika Bahamas wakati constituencies zao zinaishi maisha ya dola moja kwa siku huko tuliwaita mafisadi, Regia leo anapata pass kwa sababu gani? Kwa sababu CHADEMA ?

Kama unajua kwamba kulitumikia taifa ni zaidi ya siasa ungeshangaa Regia kuwakacha wananchi wa Kilombero wiki moja tu baada ya uchaguzi.

Siwezi kujua mipango ya Regia, kwa sababu so far anaonekana hana mipango. Mtu mwenye mipango anaweza kutoa vipost kama vya Regia ?

Anasubiri huruma za party bigwigs wampe kiti maalum tu bungeni, we unafikiri kurudi haraka mjini kuna sababu ndogo ?
 
unajitahidi sana, lakini unavyozidi kujitahidi ndivyo unazidi kujiadhiri.

Actually speed in the wrong direction is very relevant. Because the more you move in the wrong direction the further away from the right destination you get. One must always head in the right direction.

Na hapa regia amekuwa na speed in the wrong direction. Badala ya kuzama zaidi kilombero na kuwajua zaidi wananchi wa kilombero, yeye wiki moja tu baada ya uchaguzi kawakimbia.

Speed in the wrong direction, very relevant.
and thats where we differ, agreed to disagree

good luck
 
nimemkumbuka rais wangu mstaafu mheshimiwa sana mkapa... "watu wengine wana wivu wa kike" hivi kuna wivu wa kike na wa kiume?
yeah sure... Ni wa kike alisema msekwa, sijui inakuaje
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom