nimerudi nashkuru,,,,

oooo my godness u make me feel very defferent 4 the words u use 4 me kwasote abuy allah ndie muweza wa kila jambo,,,,ahsante yarab tekbar minal duau ya allah!!!inshallah kheri abuy i miss u 2...bye may allah bless u,,,

Amin Yarab
 
Uhkti Nilham, unatakiwa kuwa na subra, kwani kwa hakika umuhimu wa Subra umeelezwa katika Qur'an na Sunnah, kwa kupatiwa mafundisho mbali mbali kupitia Manabii wa Allah (‘Alayhimus Salaam) na pia kwa Maswahaba (r.a).

"Na subiri, nakusubiri kwako kusiwe ila kwa sababu ya Allah."
An-Nahl: 127

Uhkti Nilham, ukiwa ni mwenye subra ni hakika kabisa utapata ujira wa Subra kutoka kwa Allah kwa kusubiri kwa ajili Yake pekee. Na hakika hakuna Subra yenye ujira ispokuwa inayokwenda sambamba na Ikhlaas kwa Allah (Subhaanahu Wa Ta'ala) kwa kukubali na kuwa na Iymaan juu ya mitihani itakayokupata kwa kuamini kuwa Allah Ndiye wa kuiondosha.

"Hakika wenye subira watapewa ujira wao bila ya hisabu."

Az-Zumar: 10

Aswabru noor "patience is light"
 
lakini cha kushangaza chiko sina mwili wa hivyo ni kawaida tuu kama unionavyo hapa pichani ndivyo nilivyo mana picha hiyo haina muda mrefu ni baada ya iddy tu nilipiga,,,na mazoezi hua nafanya gym asubhi na my elder brothers kwa siku tatu sas nimesimama kwa ajili ya hayo mashakil...View attachment 18066View attachment 18067
Eh! Kumbe wewe ndiye yule kule kwenye blog ya arab-mania....!?

images
 
a,aleykum wapenz wangu wa humu,, nawajulisha tu kiufupi nimerudi nikiwa hai,,,mana mda wa siku takriban 5 days,,,nilipatwa na maradhi kidogo lakini la ila llah,,nimerudi ndugu zangu,,,ispokua kuwajulisha na kuomba sala zenu nilikutwa na maradhi ya qalb (hearts probems)ila si kubwa linawezekana ku be solved wiithin 3months,,dua zenu pia muhimu,,,tuko wote alhamdulillah,,:A S-rose::A S-rose::grouphug:
Binafsi nitafunga na kufanya maombi rasmi kwa ajili yako...... Pole sana...
 
Eh! Kumbe wewe ndiye yule kule kwenye blog ya arab-mania....!?

images
offcouse ndie hapo pict ya miezi sana nafkiri mana napenda kutoa video shooting nikitia you tube au picts kama hivi kwa ajili ya ujuzi niliopewa na allah kufunga hijab na hua nafanya binasi kujifurahisha kwa siri japo kaka zangu hawapendi hapo nilikonda kidogo kwa exams lakini naipenda mimi mwenyewe... 208fc5g.jpg 2psof7k.jpg naa.jpg how i'm i looking...my dad realy loves this picts..
 
offcouse ndie hapo pict ya miezi sana nafkiri mana napenda kutoa video shooting nikitia you tube au picts kama hivi kwa ajili ya ujuzi niliopewa na allah kufunga hijab na hua nafanya binasi kujifurahisha kwa siri japo kaka zangu hawapendi hapo nilikonda kidogo kwa exams lakini naipenda mimi mwenyewe...View attachment 18072View attachment 18073View attachment 18074how i'm i looking...my dad realy loves this picts..

kweli unaujuzi wa kuzifunga my dear,na zinakupendeza vilivyo,naomba unifundishe na mie,nataka nianze kuvaa hijab lkn sijui kama zitanioa coz mimi ni mweusi ,naona zinawapendeza weupe kama wewe.
 
Back
Top Bottom