PSYCHOLOGY
Senior Member
- Feb 10, 2011
- 177
- 14
Nimecheka hapo hadi mbavu zauma miiieeeee!.Kama si Mcongo huyu basi anatokea Kagera!
Hivi magamba most of them wanatokea wapi?
Nimecheka hapo hadi mbavu zauma miiieeeee!.Kama si Mcongo huyu basi anatokea Kagera!
Tanzania mkuu kama sikosei.Nimecheka hapo hadi mbavu zauma miiieeeee!.
Hivi magamba most of them wanatokea wapi?
ccm ndio magamba.Tanzania mkuu kama sikosei.
Nimecheka hapo hadi mbavu zauma miiieeeee!.
Hivi magamba most of them wanatokea wapi?
Huyu Timor ni Mgagagigikoko, sijui mnamkumbuka wakuu. Alikuwa kuzimu na sasa amerudi duniani. Teh teh teeeh.
na kama co kagera,atakua anatokea kona flan za mkoa wa mara.Kama si Mcongo huyu basi anatokea Kagera!
Sikutegemea thread kama hii,it meanz huko ulikokua hakukua na intanet?
Wapendwa wana JF napenda kuwajulisha nipo Bongo tena kwa mara nyingine,Wapenzi wangu na mahasimu wangu wote ni vema mjue tusije onana mkasema sijawaambia.Kijiwe changu ni hapa hapa JF 24/7
Atusaidie kutaja kwa kidhungu KIJIWE=................Hapa sio kijiwe bana, wengine hapa ni ofisi.
Atusaidie kutaja kwa kidhungu KIJIWE=................
wanaboa kishenzi
Jobless.Atusaidie kutaja kwa kidhungu KIJIWE=................
Noted.Hapa sio kijiwe bana, wengine hapa ni ofisi.