tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Habari zenu wadau? Nimepoteza cheti cha kuzaliwa ambacho nilikipata huko Mbeya. Kwa sasa nipo DSM, Naomba yeyote anayejua utaratibu wa kupata kingine anijulishe.
nashukuru, vipi inahitaji kuripoti polisi?Nenda pale Rita (panda basi la Muhimbili, kisha ulizia hata kwa makonda wata kuelekeza), uende na kitambulisho cha kupiga kura.