Me nashanga watu wanapoteza orignal certificates zote nashdwa kuelewa walikuwa wanaenda navyo wote kwa wakat mmoja?
pole sana jitihad zinahitajika nilishakuwa na tatizo kama lako nilikata tamaa bt nchi hii pesa mbele nikapata certification note ya vyeti japo kuwa sio vyeti kama vya mara ya kwanza
Hivi asipopatika haraka njia nzuri ya kukiweka salama hicho cheti ni ipi ni.kupeleka polisi ili kiende eneo husika au kuna utaratibu mwingine
Kanacho hicho ndicho cheti chako wakija wakaguzi waonyeshe,kipige lamination na ukiweke kwenye uchago.Nilishafanya hivyo kwa hiyo hapa nilipo Nina loss repot tu