VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Usiku WA jana,rafiki yangu ambaye ameoa hivi karibuniamenihadithia kituko cha kimahusiano.Ilikuwa hivi: jamaa alikuwa na mkewewakiangalia taarifa ya habari TBC1.Sasa mkewe akawa anatuma ujumbe mfupi kwandugu,jamaa na marafiki.Bila kutarajia,jamaa ambaye ni mume akapokea ujumbetoka katika simu ya mkewe aliye naye hapo sebuleni.Ujumbe ukasema:"mwaaaa! dear usafiri salama kesho ili nami nikuone ukifika hapa.Ninahamunawe kweli.I miss you so much.Ukifika nijulishe.."
Pasipo kushtuka,mke akapiga simu na kuuliza: umeipata message niliyokutumiaBinamu? Baadaye,akaonekana kutuma tena huku akionekana ana wasiwasi.Mumehakuonyesha kutahayari ila anaomba ushauri juu ya nini cha kufanya.WanaJFmsaidieni tafadhali...mimi nimeshindwa pa kuanzia
Pasipo kushtuka,mke akapiga simu na kuuliza: umeipata message niliyokutumiaBinamu? Baadaye,akaonekana kutuma tena huku akionekana ana wasiwasi.Mumehakuonyesha kutahayari ila anaomba ushauri juu ya nini cha kufanya.WanaJFmsaidieni tafadhali...mimi nimeshindwa pa kuanzia