Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,808
- 6,500
Dah ukiwa na tamaa mara moja wanakuliza hawa jamaa' lakini je hawa jamaa wanashirikiana na makampuni ya simu? Kwa sababu msg wameonitumia leo haina namba ila imeandikwa MOI sijaelewa ni kampuni au nini?
Hawa jamaa huwa wananunua package ya contact za wateja wa simu kutoka kwa wanafanyakazi wa kampuni ya simu, benki ambao sio waaminifu kwa kuwalipa pesa kidogo tu.
Matapeli Wakituma ujumbe kama huo kwa wateja laki moja, hawawezi kukosa kati ya hao ambao wanataka utajiri wa haraka na kutoa details zao zaidi au kutoa pesa.