Nimepokea simu ya ajabu usiku wa kuamkia tarehe 28th December 2011

ipotezee 2 ndugu, ingia kwenye maombi bs. inaonekana hausali ww b4 hujalala, embu uanze kuwa na ako katabia jaman vi2 kama ivo havitakuwa na nafas kwako kbs.
 
Hli jamaa lmefuzu uongo,private number huwa haioneshi jna,ye ameweza vp kuipga.kua bac mwanangu.
 
Mkasa kama huo umewahi kunipata! Namba ni airtel, nikachukulina kwa upole uliopitiliza na samahani nyingi....mwisho wake ikawa kuna mtu mwenye namba kama yangu na huwa wanampata wakipiga
 
Hli jamaa lmefuzu uongo,private number huwa haioneshi jna,ye ameweza vp kuipga.kua bac mwanangu.

Hivi umesoma thread au umedakia tu kuchangia?Nani kasema ilikuwa ni private number hapa?
 
Kwanza, wewe husemi kweli.

Unalea hadithi za kufikirika. Kama u mkweli tuwekee hiyo namba ya kiajabu.

Mariam ni mama yake Yesu (AS), Jee, kuna Mkristo anaeamini kuwa Jina la Mama yake Mungu likampigia mtu simu za kiajabu?

Tafadhali sana, kuwa mkweli. Usicheze na majina haya makubwa.

Hapo ndiyo dada yangu anaponiacha hoi,hii hoja anataka iwe ya dini!Anataka uwe mjadala wa kidini!
 
wrong numb tu hio, potezea, tupa kuleee. Kwenye simu tegemea mengi tu, me sioni km kuna la ajabu hapo.
 
Hapo ndiyo dada yangu anaponiacha hoi,hii hoja anataka iwe ya dini!Anataka uwe mjadala wa kidini!

Nakuambia watu kama huyu mimi nawaelewa na nimesema hayo si kwa kukisia. Kuna kitu kalenga kwa hilo jina la "Mariamu". Huwa sikisii.
 
Nakuambia watu kama huyu mimi nawaelewa na nimesema hayo si kwa kukisia. Kuna kitu kalenga kwa hilo jina la "Mariamu". Huwa sikisii.

Hee ushakuwa mwanasaikolojia?Even then wewe ni mdini na huo udini wako haujifichi unajionesha kila wakati,ndio maana umeniwekea maneno ambayo sikusema na ‘umeconnote‘ maana ambayo sikuikusudia.
 
Hee ushakuwa mwanasaikolojia?Even then wewe ni mdini na huo udini wako haujifichi unajionesha kila wakati,ndio maana umeniwekea maneno ambayo sikusema na ‘umeconnote‘ maana ambayo sikuikusudia.

Sasa mimi nime "connote" wewe umenini? wakati unafahamishwa hapa kuwa hiyo ni "simply" wrong number?

Mimi kama unamaanisha Uislaam ndio udini, basi mimi ni namba moja. Wewe, Jee, Mpagani?


Ooopsss, by the way, sio nimeshakuwa, mimi ni mwanasaikolojia kwa kusoma si kwa "nimeshakuwa". Indeed, I am a psychologist.
 
Sasa mimi nime "connote" wewe umenini? wakati unafahamishwa hapa kuwa hiyo ni "simply" wrong number?

Mimi kama unamaanisha Uislaam ndio udini, basi mimi ni namba moja. Wewe, Jee, Mpagani?


Ooopsss, by the way, sio nimeshakuwa, mimi ni mwanasaikolojia kwa kusoma si kwa "nimeshakuwa". Indeed, I am a psychologist.

Wow gud to know you‘re a psychologist,ni moja ya fani ninazoziheshimu..ila with all due respect hapa uko wrong ulipoinvoke suala la udini na mariamu..
Apart from that,nashkuru kwa maoni na kunijuza ufahamu wenu..for all we know,everyone can be ‘learned‘ in his field of specialisation, but then everyone can be a layman in a field he knows not anything about it..so isiwe topic me kuitwa ‘learned,‘ and oh yeah i am yet to hear psychologists calling themselves learned brothers/sisters! May be you could set precedent, ‘learned sister,FF!‘
 
wabongo wengi ni vilaza na iq ndogo sana..hiyo ni simu ya kaaida tu sas nashangaa wengine wakisema kuwa ni mapepo akili ndogo hizo .

kweli kabisa mkuu!.. mi nilishawahi kupigiwa na shori simfahamu number yake ina mabano katikati alafu alikuwa akiongea kifaransa "nilikuwa sipo bongo though" lakini baada ya kuona hatuelewani niliipotezea tu na kukata simu , sasa navuta picha huyu msela angpigiwa namba ya simu ina mabano katikati si ange wehuka kabisaa...?
 
Back
Top Bottom