Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,738
- 155,426
kemea hilo ni pepo kibushuti linakunyemelea
kweli jf demokrasia inazingatiwa imejumuisha watu wa aina zote bila kusahau mipunga
Duuu sasa JF inakuwa kama FB, tuwe waungwana!!!:twitch:
Modes wafatilie hichi kisa kinaifanya JF idharaulike, kwanza ningekuwa mimi ndio nimetongozwa ningebadili na ID kabisa kwa vile tayari nimeshatiwa nuksi nahitaji kuoga na maji ya baraka na kufunga kwa novena ya siku 9 bila kuzungumza na mtu yeyote, yaani ni kusali na kuimba tu kwa Mungu anisafishe na hiyo nuksi
we mbona jina lako linabadilikabadilika kama kinyonga? Angalia kwa umakini mara nguli mara nguli jabali..mods ndo ninh hii?