kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
zis is very danger
Mkuu ni kweli hii ni nuksi sana ikikukuta... wasiwasi wangu ni kwamba anaweza kukutongoza wewe maana umesema utabadili ID, ili tu ubadili ID... Punga ni Punga tu, ahata mawazo yake ni ya kipunga tuModes wafatilie hichi kisa kinaifanya JF idharaulike, kwanza ningekuwa mimi ndio nimetongozwa ningebadili na ID kabisa kwa vile tayari nimeshatiwa nuksi nahitaji kuoga na maji ya baraka na kufunga kwa novena ya siku 9 bila kuzungumza na mtu yeyote, yaani ni kusali na kuimba tu kwa Mungu anisafishe na hiyo nuksi
Kumbe ndani ya JF watu wanatongozana kiukwelukweli, mimi navyoonaga wanaitana cousin mara sijuhi nini, mimi nilijua ni utani kumbe ni vya ukweli aisee,
nakutaka....nakutania weeweeeeeeeeeeeee!!!!!!
Mkuu ni kweli hii ni nuksi sana ikikukuta... wasiwasi wangu ni kwamba anaweza kukutongoza wewe maana umesema utabadili ID, ili tu ubadili ID... Punga ni Punga tu, ahata mawazo yake ni ya kipunga tu
On a serious note, namshauri sumbalawinyo amripoti huyo punga kwa mods
Sasa swali gumu, je wanaotumia PM kutongoza mademu wasiowajua nao wafanywe nini?
Utongozaji mwingine bwana, unatongoza monitor ya comp. yako kupitia keyboard, makubwa!
Jamani,mbona bahati hizi hazitupatagi sisi?Najua atasoma tu hapa labda na mimi ataanza kuni PM.....
Mmhh kuna nini humu ndani btw its a weekend kama kuna mtu anataka offer aje hapa Java fasta lol!lol!
Naona udenda ulikuwa unamtoka kabisa.
Haya makubwa halafu mazito.
Mmhh kuna nini humu ndani btw its a weekend kama kuna mtu anataka offer aje hapa Java fasta lol!
Ha ha ha hapa kuna black label na nyama choma na ballantineshumu habari yake nzito.
Watu wanatamani hadi udenda umewatoka wameamua kumsumbua kaka wa watu.
Hapo java kuna maharage ya kuchoma na uji wa mchele?