kudadeki! Ghashi...
Kuna jamaa punga humu JF amekuwa akinisumbua sana kuwa anataka nimhemee, anasema amenifia ile kiroho mbaya kwa kuwa nina jina la kiporipori. Ameniambia atanifundisha namna ya kumuingilia kinyume , na nitaenjoy kuliko ninavyopata raha kwa mwanamke wangu.
My take, ndugu, sipendi kukutaja kwa jina, nimeandika hapa ili ujue kuwa ninakerwa na uchafu wako.
Pia wana JF naomba kwa nguvu zote tuukemee ujinga huu
Mwage jina lake jamvini bwana!!!!, Waogopa nini??????
Amtaje tu. Kuna memba mwingine nae alishasemaga kuna c.hoko humu jamvini, ni vema akajulikana. Ishakua kero.Hapana asifanye hivyo namshauri amsitiri lakin ampe very strong warning, na pia asifanye hivyo kwa mtu mwingine yeyote yule sio kwa WanaJF tuu...tabia chafu sana na kitendo cha kuvunjiana heshima na kudhalilishana. NOT ACCEPTABLE FOR GREAT THINKERS
halafu hashy una kesi!
duh! Hiyo kali, kwani mlianzaje anzaje?