nashukuru jaman ,mawazo yenu nitayachukua na nitayafanyia kazi
lkn waswas wangu nnapofka chuo nifanyeje akiiniita?
Unaonekana hujawahi kufa wewe, halafu sijui masabuli babaako! hata adabu huna wewe, hilo limama likufunulie mautupu yake utavumilia weye? Kubali ufe labda baada ya hapo ndo utajua uzuri au ubaya wa jambo hilo.
Msomi wa chuo kikuu mlimani mwaka wa pili unalia lia hapa......
Anzia hapo as elimu yako inatosha kuelewa katikati ya mistari hiyo.
Mchango wa mawazo utapata hapa Jf kama hivi .
Zipu yako kufunguka au kubaki imefungwa inategemea na vichwa vyako vinafikiria nini na vinafikiriaje wakati huo brooo
Ni kwamba umeshindwa kufanya uamuzi ama?Kama una gelofrend jiandae kupigwa chini.
Haya sasa Uchaguzi ni wako
Chagua Uzima au Kifo
Kuchagua Uzima maana yake kumpiga kibuti huyo jimama
Kuchagua Kifo maana yake ni kusema ndiyo kwa jimama.
NB:Nauza Majeneza yaliyotumika.