Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wakuu nilipokuwa nikisoma katiba nimeshangaa kwamba ninayo ruhusa ya kumshitaki Mwema mahakamani kwa kuvunja katiba makusudi, kwa kuzuia maandamano na kuwapiga wananchi.
kifungu (1) na cha (2) cha ibara ya 26 ya katiba ya mwaka 1977 kinaniruhusu.
"26.-(1) Every person has the duty to observe and to abide by this
Constitution and the laws of the United Republic.
Act No.15
of 1984
Art.6
(2) Every person has the right, in accordance with the procedure
provided by law, to take legal action to ensure the protection of this Constitution
and the laws of the land."
Mwema anajua wazi kwamba kifungu cha katiba wanayoapa kuilinda kinasema kwenye katika ibara ya 20 hivi:
"20.-(1) Every person has a freedom, to freely and peaceably assemble,
associate and cooperate with other persons, and for that purpose, express views
publicly and to form and join with associations or organizations formed for
purposes of preserving or furthering his beliefs or interests or any other interests."
Kisha kutokana na ibara ya 26 kifungu cha 1 na 2 nataka kumshitaki Kikwete, Pinda na CCM kwa kutaka kuingiza suala la Mahakama ya Kadhi katika serikali kinyume na katiba inavyotaka. Nimeona jinsi katiba ilivyokuwa wazi katika hili. Nategemea kutumia vifungu hivi vya katiba hii hii kuwashitaki kwa Ibara ya 20:
"(2) Notwithstanding the provisions of subarticles (1) and (4), it shall not
be lawful for any political party to be registered which according to its
constitution or policy -
(a) aims at promoting or furthering the interests of any faith or religious group;
Sasa basi kwa makusudi kabisa wote ninao kusudia kuwashitaki wanaivunja katiba hiyo waliyoapa kuitunza na kuifuata.
Naomba mwanasheria aliyetayari kunisaidia ani PM.
kifungu (1) na cha (2) cha ibara ya 26 ya katiba ya mwaka 1977 kinaniruhusu.
"26.-(1) Every person has the duty to observe and to abide by this
Constitution and the laws of the United Republic.
Act No.15
of 1984
Art.6
(2) Every person has the right, in accordance with the procedure
provided by law, to take legal action to ensure the protection of this Constitution
and the laws of the land."
Mwema anajua wazi kwamba kifungu cha katiba wanayoapa kuilinda kinasema kwenye katika ibara ya 20 hivi:
"20.-(1) Every person has a freedom, to freely and peaceably assemble,
associate and cooperate with other persons, and for that purpose, express views
publicly and to form and join with associations or organizations formed for
purposes of preserving or furthering his beliefs or interests or any other interests."
Kisha kutokana na ibara ya 26 kifungu cha 1 na 2 nataka kumshitaki Kikwete, Pinda na CCM kwa kutaka kuingiza suala la Mahakama ya Kadhi katika serikali kinyume na katiba inavyotaka. Nimeona jinsi katiba ilivyokuwa wazi katika hili. Nategemea kutumia vifungu hivi vya katiba hii hii kuwashitaki kwa Ibara ya 20:
"(2) Notwithstanding the provisions of subarticles (1) and (4), it shall not
be lawful for any political party to be registered which according to its
constitution or policy -
(a) aims at promoting or furthering the interests of any faith or religious group;
Sasa basi kwa makusudi kabisa wote ninao kusudia kuwashitaki wanaivunja katiba hiyo waliyoapa kuitunza na kuifuata.
Naomba mwanasheria aliyetayari kunisaidia ani PM.