Nimepata mshutko baada ya kuambiwa ni nywele za maiti

Mie siamini nywele tunazovaa,huwa zimetoka kichwani mwa mwengine...nadhani huu ni uzushi kuwadiscourage watu wasivae mawigi.....tupeni source ya hivyo viwanda vinavyonunua nywele za watu...mnh:dance:
 
[
WE PAULINE UNAISHI DUNIA YA WAPI? KUNA NYWELE SIKU HIZI NI ZA BINADAMU KABISA ZINAITWA HUMAN HAIR WANASHAVE NA KUZIUZA KWA HAIR DEALERS MOSTLY ZINATOKA INDIA, CHINA, BRAZIL NA ZINATENGENEZWA KWA STYLE YA MAWIG, LACE.

LAKINI ZIPO PIA ZINATOKA KWA DEAD PEOPLE, NA KUMETOKEA HAPA KARIBUNI KUNA WANAWAKE WENYE NYWELE NZURI WALIUAWA NA GANGS.




QUOTE=pauline;2047065]Mie siamini nywele tunazovaa,huwa zimetoka kichwani mwa mwengine...nadhani huu ni uzushi kuwadiscourage watu wasivae mawigi.....tupeni source ya hivyo viwanda vinavyonunua nywele za watu...mnh:dance:[/QUOTE]
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom