VISIONEER
Senior Member
- Apr 29, 2011
- 141
- 20
Kuna nywele siku hizi wanawake weusi wanazivaa kichwani wanaziita human hair, mwanamke mweusi akizivaa hizo nywele anakua kama mhindi si mhindi, mzungu si mzungu.
Mwanzo mimi nilifikiri ni utaalam wa wenzetu wazungu labda wanatenngeneza makatani halafu yanakuwa hivyo, lakini baada ya kuambiwa ni nywele za maiti kwakweli nilishindwa kuelewa inakuwaje wanawake weusi wanayaweka manywele hayo kichwani.
Na zinauzwa bei mbaya kweli mpaka laki nne lakini watu wanazinunua
je hatuoni ni kama kujikataa, kumkosoa muumba kwamba hakukuumba vizuri?
Mwanzo mimi nilifikiri ni utaalam wa wenzetu wazungu labda wanatenngeneza makatani halafu yanakuwa hivyo, lakini baada ya kuambiwa ni nywele za maiti kwakweli nilishindwa kuelewa inakuwaje wanawake weusi wanayaweka manywele hayo kichwani.
Na zinauzwa bei mbaya kweli mpaka laki nne lakini watu wanazinunua
je hatuoni ni kama kujikataa, kumkosoa muumba kwamba hakukuumba vizuri?