Nimepata mshutko baada ya kuambiwa ni nywele za maiti

VISIONEER

Senior Member
Apr 29, 2011
141
20
Kuna nywele siku hizi wanawake weusi wanazivaa kichwani wanaziita human hair, mwanamke mweusi akizivaa hizo nywele anakua kama mhindi si mhindi, mzungu si mzungu.

Mwanzo mimi nilifikiri ni utaalam wa wenzetu wazungu labda wanatenngeneza makatani halafu yanakuwa hivyo, lakini baada ya kuambiwa ni nywele za maiti kwakweli nilishindwa kuelewa inakuwaje wanawake weusi wanayaweka manywele hayo kichwani.
Na zinauzwa bei mbaya kweli mpaka laki nne lakini watu wanazinunua

je hatuoni ni kama kujikataa, kumkosoa muumba kwamba hakukuumba vizuri?
 

Attachments

  • black hair.jpg
    black hair.jpg
    37.4 KB · Views: 193
Ishu sio kuwa nyele za maiti ishu ni kutokuvaa na kupoteza uafrika wao,inaniboa!Ulisoma ile thread ya mawigi?
 
mmeshaanza somo la sayansi kimu eeh? safi sana! waambie aisee,watakufa!

Kuna nywele siku hizi wanawake weusi wanazivaa kichwani wanaziita human hair, mwanamke mweusi akizivaa hizo nywele anakua kama mhindi si mhindi, mzungu si mzungu.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Mwanzo mimi nilifikiri ni utaalam wa wenzetu wazungu labda wanatenngeneza makatani halafu yanakuwa hivyo, lakini baada ya kuambiwa ni nywele za maiti kwakweli nilishindwa kuelewa inakuwaje wanawake weusi wanayaweka manywele hayo kichwani.</p>
<p>Na zinauzwa bei mbaya kweli mpaka laki nne lakini watu wanazinunua</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>je hatuoni ni kama kujikataa, kumkosoa muumba kwamba hakukuumba vizuri?
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
Kuna nywele siku hizi wanawake weusi wanazivaa kichwani wanaziita human hair, mwanamke mweusi akizivaa hizo nywele anakua kama mhindi si mhindi, mzungu si mzungu.

Mwanzo mimi nilifikiri ni utaalam wa wenzetu wazungu labda wanatenngeneza makatani halafu yanakuwa hivyo, lakini baada ya kuambiwa ni nywele za maiti kwakweli nilishindwa kuelewa inakuwaje wanawake weusi wanayaweka manywele hayo kichwani.
Na zinauzwa bei mbaya kweli mpaka laki nne lakini watu wanazinunua

je hatuoni ni kama kujikataa, kumkosoa muumba kwamba hakukuumba vizuri?

tena kwa kadiri inavyokuwa nzuri bora na yenye mfuto na mabei kubwa ndio kutokana na maiti kunaongezeka
 
Sidhani kama ni maiti sababu nimeshawahi ona documentari CNN huko Russia na Aljaazera huko India.
Ile ya CNN inaonesha jinsi hii biashara inavyofanywa huko East europe hasa Russia, kuna salon za kike rasmi kabisa wananunua hizo nywele. Msichana anakuwa anafanya hiyo biashara anafuga nywele zikiwa kubwa anaenda kwenye salon wanamnyoa anakula pesa yake anaondoka, so mwenye salon anapata wasichana kwa akina mama wanaenda pale yeye anawanyoa anakusanya marobota na marobota ya nywele destination ni Italy ndo kwenye viwanda wanakochambua na kuziweka dawa na kubind style tofauti tofauti. India nako the same, kuna waitaliano wako huko wanakusanya mpaka za watoto wa shule kwa kuwa Indians wengi ni maskini km huko wanauza kwa bei ndogo sana ili kuweza kulipia ada ya shule na mahitaji muhimu. Niliona msichana mdogo huko india mama yake anamlazimisha akanyoe ili wapate pesa ya ada ya shule maskini yule mtoto alizitunza vizuri sana nywele zake lkn umaskini ukamfanya awe na kipara. So mkuu hii ni biashara ya watu wanaifanya na si nywele za maiti km unavyofikiria
 
kwani huyo maiti ni nani?, mtu ukitokwa na uhai ndio hufai tena? ni viungo vingapi vya maiti vinatumika kwa binadamu walio hai? nini kinamfanya maiti kuwa kitu cha ajabu? je wewe ukifa ukimbiwe kwa sababu umekuwa maiti?
Acheni hizo bana, wanawake watasuka human hair na kuweka weaves na wigs za kutosha, maisha yenyewe haya mafupi kwa nini mtu usipendeze na kufurahi rohoni mwako kisa eti mtu hapendi kuona nywele za maiti, inahusu
 
kwani huyo maiti ni nani?, mtu ukitokwa na uhai ndio hufai tena? ni viungo vingapi vya maiti vinatumika kwa binadamu walio hai? nini kinamfanya maiti kuwa kitu cha ajabu? je wewe ukifa ukimbiwe kwa sababu umekuwa maiti?
Acheni hizo bana, wanawake watasuka human hair na kuweka weaves na wigs za kutosha, maisha yenyewe haya mafupi kwa nini mtu usipendeze na kufurahi rohoni mwako kisa eti mtu hapendi kuona nywele za maiti, inahusu

duh! Ulivyotetea! Nasikia hadi ubongo wa maiti huwa unatumika kutengenezea dawa za binadamu. Wadau watasema hapa.
 
duh! Ulivyotetea! Nasikia hadi ubongo wa maiti huwa unatumika kutengenezea dawa za binadamu. Wadau watasema hapa.

cha kushangaza dawa hazisemwi, zimeonwa nywele ambazo zimekuwa treated na zinasukwa nje ya mwili, hizo dawa zinazoingia ndani ya mwili aah ni sawa, hebu watu wawaache watu wengine na uhuru wao bana
 
Umesema kweli mkuu, eti mtu anajiona mrembo kwa kuvaa nywele za mtu mwingine? Kwani za kwako za asili zina tatizo gani? Kwanini uvae nywele za mhindi kichwani?



ishu sio kuwa nyele za maiti ishu ni kutokuvaa na kupoteza uafrika wao,inaniboa!ulisoma ile thread ya mawigi?
 
Mmeamua kurudisha thread kiaina, mmekutana na mabomu, mnalo. Ile ya kwanza mlifanikiwa kuwashambulia wadada leo naona mmegonga mwamba japo mmekuja na hoja za nguvu kuliko mwanzo.
 
Kwa nini unavaa nguo za wadhungu usiivae magome ya miti au ngozi za wanyama?

Umesema kweli mkuu, eti mtu anajiona mrembo kwa kuvaa nywele za mtu mwingine? Kwani za kwako za asili zina tatizo gani? Kwanini uvae nywele za mhindi kichwani?
 
duh! Ulivyotetea! Nasikia hadi ubongo wa maiti huwa unatumika kutengenezea dawa za binadamu. Wadau watasema hapa.

cha kushangaza dawa hazisemwi, zimeonwa nywele ambazo zimekuwa treated na zinasukwa nje ya mwili, hizo dawa zinazoingia ndani ya mwili aah ni sawa, hebu watu wawaache watu wengine na uhuru wao bana
Yaani dawa zinatengenezwa kutokana na ubongo wa binadamu....!

Ndo aina gani hiyo ya dawa, iliyotokana na Brain I mean ubongo wa Binadamu, au hata wa panya?


Aspro!?
 
Sidhani kama ni maiti sababu nimeshawahi ona documentari CNN huko Russia na Aljaazera huko India.
Ile ya CNN inaonesha jinsi hii biashara inavyofanywa huko East europe hasa Russia, kuna salon za kike rasmi kabisa wananunua hizo nywele. Msichana anakuwa anafanya hiyo biashara anafuga nywele zikiwa kubwa anaenda kwenye salon wanamnyoa anakula pesa yake anaondoka, so mwenye salon anapata wasichana kwa akina mama wanaenda pale yeye anawanyoa anakusanya marobota na marobota ya nywele destination ni Italy ndo kwenye viwanda wanakochambua na kuziweka dawa na kubind style tofauti tofauti. India nako the same, kuna waitaliano wako huko wanakusanya mpaka za watoto wa shule kwa kuwa Indians wengi ni maskini km huko wanauza kwa bei ndogo sana ili kuweza kulipia ada ya shule na mahitaji muhimu. Niliona msichana mdogo huko india mama yake anamlazimisha akanyoe ili wapate pesa ya ada ya shule maskini yule mtoto alizitunza vizuri sana nywele zake lkn umaskini ukamfanya awe na kipara. So mkuu hii ni biashara ya watu wanaifanya na si nywele za maiti km unavyofikiria

hii documentary pia na mie niliiona. Kuhusu maitinkunyolewa na nywele kuuzwa sijawahi kusikia. Ila inawezekana maana dunia utapeli kila kona.:biggrin1:
 
Sidhani kama ni maiti sababu nimeshawahi ona documentari CNN huko Russia na Aljaazera huko India.
Ile ya CNN inaonesha jinsi hii biashara inavyofanywa huko East europe hasa Russia, kuna salon za kike rasmi kabisa wananunua hizo nywele. Msichana anakuwa anafanya hiyo biashara anafuga nywele zikiwa kubwa anaenda kwenye salon wanamnyoa anakula pesa yake anaondoka, so mwenye salon anapata wasichana kwa akina mama wanaenda pale yeye anawanyoa anakusanya marobota na marobota ya nywele destination ni Italy ndo kwenye viwanda wanakochambua na kuziweka dawa na kubind style tofauti tofauti. India nako the same, kuna waitaliano wako huko wanakusanya mpaka za watoto wa shule kwa kuwa Indians wengi ni maskini km huko wanauza kwa bei ndogo sana ili kuweza kulipia ada ya shule na mahitaji muhimu. Niliona msichana mdogo huko india mama yake anamlazimisha akanyoe ili wapate pesa ya ada ya shule maskini yule mtoto alizitunza vizuri sana nywele zake lkn umaskini ukamfanya awe na kipara. So mkuu hii ni biashara ya watu wanaifanya na si nywele za maiti km unavyofikiria

mkuu hiyo hapa sio kwamba ni siri, hicho kipindi ulichoona wewe alikuwa wanaelezea kwa upande huo na hawakugusia za binadamu,
dada zetu weusi wanakana kwamba hawazai nywele za wafu, lakini wazungu wanakiri na wanapokwenda kununu wanauliza kabisa kipi ni kipi,
sema maduka ya bongo sio wa kweli, ila huu ni uchafa.
Ubongo kutumika kama dawa ni issue tofauti, dawa ni uhai lakini pia ni dawa gani hizo zinazotumia ubongo, dawa nyingi sinatumia mimea hachani kutanganya watu, sanyasi ya tiba hiko mbali sana kwa sasa, kila kitu wanatengeneza maabara kwa maana nyingine hata mimea wanayotumi wanaiotesha kichemicaly kwenye mahabara,
kama kuna mtu anatumia hayo manywele basi ujua unatembea na maiti kichwa wala hakuna kuzoga hapa.



Product rating
redstar.jpg
redstar.jpg
redstar.jpg
redstar.jpg
redstar.jpg

These stick tip extensions are some of the finest available! They are a perfect choice for anyone who loves to add volume and length by applying extensions through micro and shrink rings.

And our stick tip extensions are only 100% human remy hair! Which means you can wash, curl, straighten and even dye them to suit your own look!

This single pack contains 50 strands. For a full head look we do recommend purchasing a minimum of 3 to 4 packs (that's 150 to 200 strands)

Item Specifications:
Number of pieces: 50
Length of hair extensions: 20" (50cm)
Weight of hair: 0.8 grams per strand: 40 grams total
Type of hair: 100% Remy Human Hair
 
angalia hiyo video huyo dada ni mkweli atasema

[video]http://youtu.be/ZGzwVfVyJF8[/video]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom